enh haka kajamaa nako ni kavampire itakuwa!
ahahahahha nawaza uvampire na kutokuzeeka kunahusikaje!
ila kama kuwa vampire mtu anakuwa hazeeki basi Aboubaqar Sadiq atakuwa kubwa la mavampire!
lol!
Inasemekana kwamba mwanamziki mkongwe Brandy ni VAMPIRE!!....siku zote yuko young vilevile hajawahi kuzeeka wala hana dalili za kuzeeka.View attachment 380455