Kesha kufa kisiasa huyo.Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Ana miradi mizuri kama vile ng'ombe wa maziwa. Akipiga teke ndoo maziwa unajua kesho utamkamua tena.Sawasawa kama ni kweli.Kila mtu huwa na ndoto zake.Mipango huanza kabla ya matumizi.Achunge wakora wasimlie mapesa yake tu.Kila penye changamoto kuna watu hupata fursa.
Watu wa kusini wachangamke na wao kazi kuwa machawa tuu , wataishia kuwa mitoilet paper , Lukuvi ndo kete yao pekee iliyo na nguvu sana , tatizo yamekuwa michawa ya watu wa Pwani , tabu kabisa.... Utashangaa hata support hapewi, duniani hapa kula na wa kwenu full stop , huoni twiga wanapelekwa Kwa mjomba Omani daily , fukuza Loliondo wote wajomba wawekeze ..
Ni Aibu sana wanashangili TRa makusanyo yameongezeka ila ata vyoo Samia kashindwa kujenga....Tunaitaji kufanya mabadiliko haraka sana.Endeleeni kuomba mikopo ya kujengea madarasa na vyoo.
Majibu mtakutana nayo 2030
Ni haki yake ya kikatibaAmekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Kugombea siyo lazima kushindaHana ushawishi kiasi hicho.
Acha siasa za ukabila na ukandaWatu wa kusini wachangamke na wao kazi kuwa machawa tuu , wataishia kuwa mitoilet paper , Lukuvi ndo kete yao pekee iliyo na nguvu sana , tatizo yamekuwa michawa ya watu wa Pwani , tabu kabisa.... Utashangaa hata support hapewi, duniani hapa kula na wa kwenu full stop , huoni twiga wanapelekwa Kwa mjomba Omani daily , fukuza Loliondo wote wajomba wawekeze ..
Huwez kuzikwepaAcha siasa za ukabila na ukanda
Ndauli beeMwaguto ndauli, umetumwa upime maji? Lukuvi kina kirefu hakubaliki
KheeeeKura za ndani ninampa mama, kura za uchaguzi mkuu nitampa mwingine iwapo kama hawatampitisha mama!
Ukweli mie ni kati ya wanaoaminiwa nao but kwa kuwa tu wengi hawezi jua mie ni nani?Sasa wewe umejuaje kama hawakualiki huko?
Watu wanajua jishushia eshima sana, lukuvi uyu ndo awe no 1Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!