Tetesi: Inasemekana Manji kakamatwa Marekani

Status
Not open for further replies.


Manji huyu wa Florida DOB 10/14/1975 ndio Manji wa Bongo ?...in this day and age kabla ya kuamii habari inabidi kufanya due dilligence,
 
Ajitokeze kokote aliko atweet kiyanga yanga zaidi
 
Wale wanaojiita watetezi wa haki za wanawake waliodai wale wanawake waliotuhumiwa kufanya ukahaba picha zao kutolewa wamedhalilishwa wameshaelewa huu utaratibu wa kutoa picha za watuhumiwa ni wa dunia nzima
 

Attachments

  • IMG-20190801-WA0017.jpg
    38 KB · Views: 35
  • IMG-20190801-WA0017.jpg
    38 KB · Views: 36
Jombaa hiyo sura mbona Manji per se.
ila miaka kwenye DOB naona ipo different kwahio miaka hii ya leo lazima uwe Tomaso mpaka wasemaji wa Manji waseme ni yeye....kwahio hapo kwenye DOB bado kuna mashaka..., huenda wahindi wanafanana kama wachina na Wajapan...., Just Saying hii sio beyond reasonable doubts
 
Wale wanaojiita watetezi wa haki za wanawake waliodai wale wanawake waliotuhumiwa kufanya ukahaba picha zao kutolewa wamedhalilishwa wameshaelewa huu utaratibu wa kutoa picha za watuhumiwa ni wa dunia nzima
Tofauti ni kubwa sana kati ya picha za wale "dada zetu" na hii ya manji.
 
Wale wanaojiita watetezi wa haki za wanawake waliodai wale wanawake waliotuhumiwa kufanya ukahaba picha zao kutolewa wamedhalilishwa wameshaelewa huu utaratibu wa kutoa picha za watuhumiwa ni wa dunia nzima


Siyo kila jambo ni la kuiga duniani, tujitahidi kuifanya dunia ituige,

Mbona ushoga tunaukataa kwa nguvu zote..
 
sura yake ni kama ya teja kabisa,msongo wa mawazo
 
Bavicha walimtetea sana huyu mtu kuwa kaonewa
 
hii ni public record....inavo onyesha amekuwa arrested on July 29 in Seminole huku FL with



 
Mwishoe afariki kwa presha wamuache loh!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…