Tetesi: Inasemekana Mkuu wa Jeshi la IDF Harzi Halevi auwawa kwenye Shambulizi la Drone lilifanywa na Hezbollah hii Leo

Status
Not open for further replies.
Good news
 
Safi sana sa tusubiri Hezbullah amle kichwa Nyau na waziri wake wa jeshi. Hizi ndio habari zinafurahisha roho safi sana bariiiiidiiii
 
Huyu hakuwa kwenye base hawana uhakika mleta mada na huyu mariooo

View: https://x.com/MarioNawfal/status/1845521859955069335?t=q75IhRuEMG12si3PUtp8DQ&s=19
 
Hakika
 
Haitatokea hata siku moja magaidi kumuua kiongozi mwandamizi wa Israel. Israel sio Iran sio Hizbullah au Hamas
 
Na ni humanitarian aid kweli kweli kwa Walebanoni maana Mzayuni alshaazimia kuleta genocide kama ya Gaza.
 
Binadamu uki
Wakali hawana cha kupoteza zaidi ya kupigania Aridhi yao. Nabahati mbaya hawaogopi kufa.
Binadamu ukishamuulia mama baba na ndugu haoni thamani ya kuishi nae huona heri kufa,yahudi anaamini ndio wataogopa na ajue awamu hii wamepata maroketi baada ya miaka 7mbele watamiliki ndege na vifaru Leo kitakuwa pale pale kummaliza tu UN ilimshauri ardhi igawanywe amani ipatikane amekaza fuvu Kila kukicha anakata mashamba ya wapalestina na kujenga makazi yake wakirusha mawe wanaitwa magaidi muache avune ailichohitaji muda wote
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…