Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Kwamba yeye ana mwili wa chuma hafi,, au huo ulinzi wake unatoka mbinguni na malaika,, au nyie ndo wale wale wa Israel nchi yao ukipiga bomu linadunda, dunia iko wazi now kila kitu kimejulikana, yale matango pori ya six day war sasa tushayajua.Kobaz bwana unafikir huyo ni CDF Muhonzi Kainerugaba.