Aisee inasemekana mtangazi mmoja wa wachafu tv bwana x pesa alizokuwa anahongwa na mshangazi ambaye anaishi majuu ametumia kuhonga au kulipia mahari kwa wale watu wa covid 19 upande wa singida ndiyo maana jamaa kwa sasa route za majuu zimekata kutokana na mshangazi amekata kutoa fund raise kwa huyo mtangazaji wa wachafu tv
Aisee kazi ipo usionee watu wanatamba tu kuna watu wana funde raise hapa mjini!!!
Aisee kazi ipo usionee watu wanatamba tu kuna watu wana funde raise hapa mjini!!!