kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
ataachia tu!Bundi katua hataki kuachia siti
Kwahiyo manara ni kocha?Wamrudishe Haji Manara
Na bado. Watafukiza hadi mweka mpungaKuna mtu kaninyetishia kuwa yule mjerumani mwenye jina lenye asili ya dini ya mtume ametupiwa virago pamoja na msaidizi wake.
Sawa nenda kwa Mangungu akupe ujira wako,,lakini usisahau kumuuliza alipo manzoki!Kuna mtu kaninyetishia kuwa yule mjerumani mwenye jina lenye asili ya dini ya mtume ametupiwa virago pamoja na msaidizi wake.