Kijukuu cha ngoyayi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 1,384
- 2,880
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Wamrudishe Haji Manara
Ili mumchukue kolowizard?Tatizo lote lipo kwa mmogadishu. Wamuondoe kwenye upresident.
hii kitu isikie kwa jiraniKurjuan ipo jamani.
[emoji23]ataachia tu!
Walikua wanasema wako tayar kucheza hata na malaika ..walifikia hatua ya kumtukana hadi Mungu..yani unataka kucheza na malaika wake??Yani Yanga imetoka from Hero to Zero ndani ya muda mfupi sana...hichi ndio kipimo Halisi kwa Eng. Hersi kama ataweza kuokoa jahazi maana jamaa kichwa kilijaa hadi akaanza kutoa mafunzo namna ya kuendesha Club kama Le Professor.
[emoji23][emoji23] inauma eeeh..Sawa nenda kwa Mangungu akupe ujira wako,,lakini usisahau kumuuliza alipo manzoki!
Msomali mkimbizi atusaidie nini sisiIli mumchukue kolowizard?
Huyu ni kocha wa mkewe, anamfundisha kuzururaNaona ni mda sasa apewe timu atatufaaa sn huyu
Yani Yanga imetoka from Hero to Zero ndani ya muda mfupi sana...hichi ndio kipimo Halisi kwa Eng. Hersi kama ataweza kuokoa jahazi maana jamaa kichwa kilijaa hadi akaanza kutoa mafunzo namna ya kuendesha Club kama
Nasikia boss kubwa kuna jimbo analinyatia msimu ujao sasa wanataka kumnyoosha achafuke ni tetesi piaKuna mtu kaninyetishia kuwa yule mjerumani mwenye jina lenye asili ya dini ya mtume ametupiwa virago pamoja na msaidizi wake.