Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Nape siamini aisee... Ukivuliwa uanachama na jimbo unaliachia???
 
Ccm ni kubwa kuliko Nape
Ccm ilishawahi kutimua wazito kama maLim sef na wenzake 6,mpaka leo inadunda
Ccm ilishawahi kumpoka nyadhifa zake zote Jumbe
Kwenye chama chochote hata chama cha wapiga ngoma,lazima mzungumze lugha moja
Asichokijua Nape ni subira
 
Walau umeangalia kwenye kona tofauti. Hawa watu hata wakija Chadema wabaki kuwa wanachama wa kawaida hadi mtaporidhika kuwa wanastahili kupewa uongozi ....otherwise CCM ya zamani ndio inaenda kuwa Chadema mpya .....mtajikuta mnahangaika kujibu tuhuma ambazo nyie ndio mliotuhumu miaka kibao .....binafsi sioni CCM kwenye wakati mgumu kuliko upinzani kuwa compromised beyond repair ....
 
Mtu amesema hakuwa na haja na uraisi...ila mkampatia uraisi...atang'ang'ania kwenye kiti mpak mwisho...na atakayempinga anawaka kama kawaida...!!!
 
Of coz nape should stape out and we will see. Ujinga hatutaki.
Mmmh " stape out"
 

Yaani shujaa wenu Nape Nnauye tena mnaanza kumkwepa makamanda?
 
nchi yao hii kejeli kwa wenzao kila kukicha

Pasipo kujua dunia hii haina mwenye nayo


Nasema hivi wacha wafukuzwe tena watoke kabisa na wengine washaanza kudai katiba mpya

Wapumbavu ndo wameifikisha nchi hapa
In kweli kabisa! Kipindi matumbo yao yalikuwa yakishiba, hawawajui wenye njaa! Ngoja wajifunze wapuuzi wakubwa!
 
aende cdm...ili akawaelezee vizui wananchi wa vijijin maana ya bombardier na faida zake...ccm alikuwa hapati nafasi vizur
 
kama tetesi hizi zina ukweli basi ndiyo itakuanza chanzo cha mtifuano uliokuwa unasubiriwa kwa hamu maana upo uwezekano wa kuisambaratisha CCM
 
Nakumbuka siku za nyuma wakati wa awamu ya JK kulikuwa na kampeni ya kuvua gamba lakini busara za JK baada ya kuona nguvu ya wanaotakiwa kuvuliwa ni kubwa akaamua kurudi nyuma kwa hofu ya kusambaratika kwa chama. Sasa hili la Nape kama lina ukweli sidhani kama ataondoka peke yake lazima kuna kundi kubwa litamfuata nyuma na litakalobaki litakuwa la vibaraka watakaosaidia kuiua CCM.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…