Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Aisee wewe ni Mabakuli hasa, ni hivi ,"usitukane wakunga na uzazi ungalipo"
Nilikuwa namkumbusha Nape siasa ni kama mchakato wa uzazi kuna sehemu lazima utapitia kama kuonana na mkunga kwa JPM wengi tu watajifungua hata matasa mabikra / Watu waliomba vyama vingi walijua katika siasa Vichwa vya mpingo kama hichi cha Magogoni vipo hivi wewe kimtu kama Poripori ulitegemea kinaweza kufanyà kazi katiba kataliwa hii tunayoiumikia sasa Poripori anajua katiba hii ilituweka mita 200 kutoka vituo vya kupiga kura jambo hilo ni sawa na watu wasiojulikana wanavyofanya sasa kwanini walijifungia vituoni kuhesabu kura zetu hebu pitia karibu na benki ATM unaiona kama mashine ya kuchemsha lami shughuli za kiuchumi zipo mita 200 kama box la kupigia kura 2015
 
Kwahiyo Lazaro kosa lake ni kwenda kumuona aliyetakiwa kufa na wasiojulikana?
 
Nape akifukuzwa CCM Ndo ameisha kisiasa kabisa. Hata huyo Lazaro ni mwepesi sana kisiasa. Ni muumini wa kununua kura kuliko siasa za ushawishi.
Ni kinyume unavyofikiri. Ccm wakimfukuza Nape watakuwa wamejiulia chama wenyewe.
 
Kama kweli naona Nape atakuwa amejifunza kuwa usitukane uzazi wakati wakunga wapo
Mabakuli sina shaka wewe utakuwa Ndugu yake Magu, tunasema, we msukuma sikiliza vizuri, " usitukane wakunga wakati uzazi ungalipo." Siyo eti usitukane uzazi... ebo ndiyo nini hii. Akikusikia Rais Mstaafu Mzee Mwinyi...
 
Uongo bwana. Wala awakujadili Waking nape Na nyalandu. Ndio uzuri wa kufanya ikulu. Siri inadhibitiwa vilivyo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom