Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh[emoji102]Kama kweli naona Nape atakuwa amejifunza kuwa usitukane uzazi wakati wakunga wapo
TeethlessCdm tunakatiba yetu ndg !
Ni mkuu wa mkoa siku hizi.
Nilikuwa namkumbusha Nape siasa ni kama mchakato wa uzazi kuna sehemu lazima utapitia kama kuonana na mkunga kwa JPM wengi tu watajifungua hata matasa mabikra / Watu waliomba vyama vingi walijua katika siasa Vichwa vya mpingo kama hichi cha Magogoni vipo hivi wewe kimtu kama Poripori ulitegemea kinaweza kufanyà kazi katiba kataliwa hii tunayoiumikia sasa Poripori anajua katiba hii ilituweka mita 200 kutoka vituo vya kupiga kura jambo hilo ni sawa na watu wasiojulikana wanavyofanya sasa kwanini walijifungia vituoni kuhesabu kura zetu hebu pitia karibu na benki ATM unaiona kama mashine ya kuchemsha lami shughuli za kiuchumi zipo mita 200 kama box la kupigia kura 2015Aisee wewe ni Mabakuli hasa, ni hivi ,"usitukane wakunga na uzazi ungalipo"
Mnao ubavu wa kumkataa. Hilo ni jaa mavi,mikojo,taka za samaki na zinginezo zote ni humo. Subirini uvundo wakeKama ni kweli akija ukawa wamkatae maana ni makapi!
Ni kinyume unavyofikiri. Ccm wakimfukuza Nape watakuwa wamejiulia chama wenyewe.Nape akifukuzwa CCM Ndo ameisha kisiasa kabisa. Hata huyo Lazaro ni mwepesi sana kisiasa. Ni muumini wa kununua kura kuliko siasa za ushawishi.
Undemocratic constitution. Shit.Cdm tunakatiba yetu ndg !
Mabakuli sina shaka wewe utakuwa Ndugu yake Magu, tunasema, we msukuma sikiliza vizuri, " usitukane wakunga wakati uzazi ungalipo." Siyo eti usitukane uzazi... ebo ndiyo nini hii. Akikusikia Rais Mstaafu Mzee Mwinyi...Kama kweli naona Nape atakuwa amejifunza kuwa usitukane uzazi wakati wakunga wapo
Vichwa gani ccm? Wale wanaotupiwa mtego na kunasa?Makapi wape chadema, vichwa toeni chadema leteni CCM