Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ruksa kutoa maoni na litakalowakuta wasianze kulialia kama kilichomkuta zito ufipa Uhuru ulimponza.Kwani ana kosa gani mkuu na sisi tufahamu, ama kutoa maoni yako ni kosa siku hizi?
Sijui kama inawezekana maana aliwaita wenzake walioshtuka mapema oil chafu,Chadema tutamsajili. Baada ya kumfanyia ubatizo wa maji mengi kuondoa uchafu aliokuwa nao akiwa ccm
Ni mkuu wa mkoa siku hizi.Ivi ole Sendeka yuko wap?
Mkuu UKAWA hawamkatai mtu mashuhuri kama NapeKama ni kweli akija ukawa wamkatae maana ni makapi!
Cdm tunakatiba yetu ndg !Walau umeangalia kwenye kona tofauti. Hawa watu hata wakija Chadema wabaki kuwa wanachama wa kawaida hadi mtaporidhika kuwa wanastahili kupewa uongozi ....otherwise CCM ya zamani ndio inaenda kuwa Chadema mpya .....mtajikuta mnahangaika kujibu tuhuma ambazo nyie ndio mliotuhumu miaka kibao .....binafsi sioni CCM kwenye wakati mgumu kuliko upinzani kuwa compromised beyond repair ....
Kweli kabisa ..... Nape anaushawishi mkubwa na atakuja na wenzake .....Mkuu UKAWA hawamkatai mtu mashuhuri kama Nape
Aisee wewe ni Mabakuli hasa, ni hivi ,"usitukane wakunga na uzazi ungalipo"Kama kweli naona Nape atakuwa amejifunza kuwa usitukane uzazi wakati wakunga wapo