Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Kama ni "kufosi" fani Nape analazimisha tu kuwa mwanasiasa ila kipaji chake halisi ni kama cha Ndanda Kossovo, Ali Choki nk.
Yaani alipoonyesha uthubutu wa kumsema Lowassa waziwazi (probably kwa kutumwa tu) ndio watu wakadhani ni bonge la mwanasiasa!
Hata itikikadi na uenezi alizokuwa anafanya ni kufyatuka na kuropoka tu, hakuna mkakati hata mmoja ambao aliuanzusha...
 
Bado wanaharakati wote wataondoka . Anyway Nape alishaliona hili nankupitia tweet zake wenye macho marefu tulijua hawezi kusurvive, unapishana na prince of zamunda utaishi zamunda kweli.
 

Twende mbele turudi nyuma, Uncle sio mwana diplomasia, bado ana fikra kwamba ukimtisha mtu ndio atakusikiliza.

Mfano mimi nikikuuliza Bombadia ina faida gani na nchi utanijibu nini??
 
Mbona mmechelewa sana kumtimua Nape Nnaye Naomba isiwe tetesi tu.
 
safi sana, muasisi wa goli la mkono na oil chafu kutimuliwa
 
Twende mbele turudi nyuma, Uncle sio mwana diplomasia, bado ana fikra kwamba ukimtisha mtu ndio atakusikiliza.

Mfano mimi nikikuuliza Bombadia ina faida gani na nchi utanijibu nini??
Unaamn ni kweli nape aliulizwa hivo?pili je nape ndo kosa pekee alilofanya?Kauli ngapi za nape kama UNAAKILI timamu unajua kabisa hiki ni kijembe?
 
Unaamn ni kweli nape aliulizwa hivo?pili je nape ndo kosa pekee alilofanya?Kauli ngapi za nape kama UNAAKILI timamu unajua kabisa hiki ni kijembe?

Hata kama ni vijembe, kuongoza taasisi kubwa kama CCM au taasisi yoyote kubwa inahitaji kuwa na uvumilivu, ustahimilivu, werevu na weledi wa kushughulikia changamoto kama hizo.

Ni mfano kuwa baba wa familia, unaweza kuwa na mtoto mvuta bangi, kikojozi, asiependa shule n.k sasa kama mzazi utawafukuza nyumbani au utaka nao chini kuwaelekeza kuelekea njia bora??
 
Hayo yanawezekana lkn sio kwenye siasa.lkn hata ktk family ka kuna mtoto mtukutu huwa kuna njia za kumwadhibu.kwenye siasa nako kuna njia za kukuadhibu.
 
Hayo yanawezekana lkn sio kwenye siasa.lkn hata ktk family ka kuna mtoto mtukutu huwa kuna njia za kumwadhibu.kwenye siasa nako kuna njia za kukuadhibu.

Unajua tatizo ambalo limetudidimiza Watanzania kwa Miaka 50 ni UNAFIKI. Unafiki ndio umetufanya tufike hapa tulipo au tuwe na hali tulikuwa nayo.

Tunapenda maisha ya upambe upambe, kujipendekeza pendekeza, mfano kama Steve Nyerere kind of life style.

Kitu hata kama ni kibaya hatuwezi kuhoji kwa sababu mkuu atakasirika au watu flani wachachache wana maslahi nacho.

Sasa leo akitokea mtu akahoji kitu anaonekana ni tofauti kabisa na anapingwa vibaya sana, japokuwa hao wanaompinga kwenye mioyo yao wanajua ni kweli.

Hii ni kwa vyama vyote na watanzania kwa ujumla, tuwe na Ujasiri wa kuhoji pale tunapoona maslai ya umma yanachezewa na wachache, hii ndio kazi ya upinzani.
 
Mbona hii post ni kama inatoa WASIFU wa huyo Nape?

It's kinda campaigning
 
Sishangai Nape kutemwa. CCM ilishakufa tangu 2015 kimebaki kivuli tu cha CCM na Rais Magufuli tu kama yeye. Tangu lini mtu kama Polepole akawa msemaji wa chama kikubwa sana kama CCM kilichopigania Uhuru wetu na ule wa mataifa mengine?
 
Sikia mkuu kila chama kina njia zake za kuhoji.Huwez kuta wabunge wa chadema wanahoji maamuzi ya mwenyekiti wao hadharani. Vivyo hivo kwa ccm ndio utasema anahoji mambo ya maendeleo lkn inatakiwa ujue bado nape ni CCM na anayoyahoji lzm yatakuwa na impact flan ktk chama chake xo lazma afuate utaratibu wa kuwasilisha malalamiko yake.Nape bila CCM hajawa mbunge so kuidharau njia iliyompa madaraka sidhani ka ni sahh.Maamuz yyt juu ya utekelezaji wa sera kama ni kupinga kuna vikao halali huko.Ushawah ona chadema wanabishana mbowe akisema tutoke nje bungeni?Kama kubishana wanabishania kwenye vikao vyao.Sasa nape anataka kubishana na chairman wake kwenye mitandao mara kwa wananchi wake anajifanya eti wamemuuliza. Hivi itkuaje leo kubenea au Lema kwenye page yake akaandika HIVI HUKO KUSUSIA BUNGE NDO KUTUWAKILISHA WANANCHI?Nambie itakuaje?
 
CCM isikie hivi hivi,wanakukaanga kwa mafuta yako.Kama kweli wamempiga chini,akijifanya yeye ndio yeye,watamfungulia lundo la udhahifu wake kwani record zote zake hadi magoli ya mkono wanazo.
Atulie tu kama Mama Simba.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…