Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.

Ndugu Misuli, sifikirii kama Komredi Nape ni Balidhuli kama tunavyofikiria, Nape ni mtoto wa Chama, Nape amekuzwa na CCM, Nape kasomea itikadi ya CCM chuo cha Kivukoni.

Naikumbuka siku Nape anashinda ujumbe wa NEC alikuwa bado ni Mwafafunzi pale Kivukoni, ilikuwa ni Bonge la Party ilikuwa 2002-2003.

Nape leo hii hawezi hivi hivi kumvua kanga hadharani mama mlezi aleye mlea.

Tusiwe watu wa ndiooo , tuwe watu wa kuhoji na kutafakari.

Kuhusu CDM sijui wanavyofanya kazi, naongelea chama ambazo kidogo naelewa mambo yake.
 
Ndo kusema hawataki bao LA mkono tena, ukivuliwa uanachama VIP na ubunge unakoma?Kama usipokoma unakuwa unawakilisha chama kipi.
 
Hizi tetesi bado tetesi tu? itakuwa mambo ya ajabu hii thread ime trend kiasi hiki kwa mambo ya umbea tu
 
CCM isikie hivi hivi,wanakukaanga kwa mafuta yako.Kama kweli wamempiga chini,akijifanya yeye ndio yeye,watamfungulia lundo la udhahifu wake kwani record zote zake hadi magoli ya mkono wanazo.
Atulie tu kama Mama Simba.

Hilo ndio kosa letu Watanzania.

Katokea mtu ana challenge utawala, mnamshauri akae kimya??

Kuna ubaya gani mtu ukihoji kuhusu rasimali za wengi??

Mnataka aishi maisha ya kinafiki kusifia ambacho anaona sio sawa kwa mtazamo wake??
 
Iwe ni kweli au sio kweli kama amefukuzwa lakini watanzania wooote lazima wajue kuwa wapinzani pia ni watanzania wenzao na kuwa upinzani sio dhambi wala laana na Walioko chama tawala pia sio wahuni, wezi wala wahalifu ni watanzania wenzao. Kinachotakiwa kufanywa na watanzania ni kutumia njia za kawaida kabisa za kuomba kura, kupiga kura, kuhesabu kura kama zilivyopigwa na kutangazwa mshindi kutokana na kura zilivyopigwa. Kwa kauli na vitendo vyake enzi zake Nape hukuonyesha kama watanzania walioko vyama vya upinzani ni watanzania wenye akili na haki ya kuliongoza taifa hili. Aliwaona akina Kingunge, Sumaye na wengine kama wendawazimu fulani. Hakujuwa kuwa baada ya Mwl. Nyerere kufa CCM imebaki haina mwenyewe hata mmoja.
 
Hao wengine ni akina nani, maana mnasema wanatajwa kwenye mitandao
 
Unapoisema Bombadia kwa kusudi la "kuisimanga",jiandae kwa lolote.
Ile ndio "kampeni" ya baba mwenye nyumba!!
Bombadia ni Dili la Bashite na GSM wao ndiyo Madalali wanakula 10% kiimya kiimya na Nape anajua mchezo wote, Bashite hapendi Bombadia kuongelewa na wana Siasa ndiyo maana Lisu alikamatwa pindi alipoiongelea tu, cheza na vyote lakini Dili lao usiguse.
 
Safi sana. What goes around comes around. Naomba iwe kweli
 
Dili ya bombadia sio ya CCM pesa za bombadia ni za walipa kodi pia Kumbuka ununuzi wake haukupata baraka za Bunge Dodoma bali ilinunuliwa kibabe kwa shinikizo la Madalali Bashite na watu wake ili wapiga cha juu 10% hivyo haipaswi kujadiliwa kichama wasitake kutengeneza kisingizio cha kumuonea Kumbambikia shutuma feki wapate kumpora kadi ya CCM, wanamtisha sana ndiyo maana Nape kaogopa kwenda Nairobi kumjulia hali Lisu.
 


Hivi matatizo ya CCM hayana mfano mwingine kujilinganisha zaidi ya CHADEMA?
 
Nape ajishushe! Zama zimebadilika, akivuliwa uawanachama hata akigombea tena watamchakachua.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…