Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Jambo la msingi ni kuwa karibu na waliokuchagua,maana lichama likikufukuza unaweza kugombea kwa tiketi ya chama kingine.
 
Jambo la msingi ni kuwa karibu na waliokuchagua,maana lichama likikufukuza unaweza kugombea kwa tiketi ya chama kingine.
 
upepo wa siasa za kusi utageuka kuelekea kaskazi muda si mrefu
 
Sio yeye tu aliyefukuzwa,wamo pia wabunge wenzake watatu wa majimbo na wenyeviti wawili wa CCM kutoka kanda ya ziwa.Membe na Kikwete Mkubwa na mdogo, wameponea tundu la sindano. Kinana kasusa.
 
Hivi huko jimboni kwake ni kabila gani linaishi.
Yaani kumochoka kinoma aisee.
Jamani mkumbuke kujenga kwenu simjifunze kutoka Kaskazini mwa nchi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…