Inasemekana NATO wamemtaka Zelensky akimbie Nchi, je ni kweli?

Inasemekana NATO wamemtaka Zelensky akimbie Nchi, je ni kweli?

zamani ukija jamii forumu ulikua unapata madini ya habari ila sasa hivi had wauza kahawa wamehamia humu

jamii forumu ndiyo nini ewe unaye jifanya mjuaji ilhali huna unalolijua!?

Sasa kama tu huelewi hata kuandika/ kutofautisha wapi uanze na herufi kubwa ama ndogo utashindwa kweli kuchangia kwa andiko lisilo na adabu?

Ukiona hufurahishwi na jambo ama andiko, puuza na si vinginevyo.

Jifunze pia kuandika.
 
jamii forumu ndiyo nini ewe unaye jifanya mjuaji ilhali huna unalolijua!?

Sasa kama tu huelewi hata kuandika/ kutofautisha wapi uanze na herufi kubwa ama ndogo utashindwa kweli kuchangia kwa andiko lisilo na adabu?

Ukiona hufurahishwi na jambo ama andiko, puuza na si vinginevyo.

Jifunze pia kuandika.
Na wewe jifunze kutoa habari ,unatoa mipasho tuu habari haina hata balance
 
Ona ulivyo mweupe! Masikini wa Mungu huelewi hata kutofautisha swali/ulizo na habari.

Ndiyo maana nimekutaka uache ujuaji ilhali huna ulijualo.
we na mim nani mweupe hii habari yako mtu mwelewa atakusuppot kweli .Alafu unataka tufundishane kiswahili wewe mbona umechapia unasema nasikia NATO wamemwambia,hivi ni NATO wamemwambia au NATO imemwambia,
 
Ukweli ni kwamba Zelensky yupo Poland mwaka wa pili huu, ukimuona Ukraine ujue anafika ili jeshi lake na wananchi waendelee kuamini kuwa yupo nao hadi mwisho, lakini kiuhalisia Safe house yake kwasasa ni Poland.
Ustadhi gani amemwambia hili

USSR
 
Back
Top Bottom