Cendy
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 1,250
- 2,309
Nimetoka juzi kwenye banMkuu utapigwa ban
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetoka juzi kwenye banMkuu utapigwa ban
Pamoja mkuuHehe
Poa mkuuNimetoka juzi kwenye banngoja nilale![]()
Mawazo yetu ni ngono tu hakuna kingine.Watanzania Tabu sana Sasa *JAZA UJAZWE* limekua tusi toka Lini?
Sijaumelewa mleta uzi yani! Kwani waliotafsiri kivingine ni sisi wapokeaji au tigo? Mm nimefuatilia tangazo lao mwanzo mwisho hakuna sehemu tangazo lina viashiria vya ngono sasa ukitafsiri kivingine hilo ni lako na km TCRA wanataka kuzuia hilo tangazo wajipange vizuri wasijejikuta wanaishia kupelekana mahakamani. Maneno mengi tu wamejitafutia tafsiri zetu wenyewe basi tuyaondoe kwenye kiswahili.Kujazwa siku hizi tusi? shame on you
Tatizo alilalamika mbunge wa CCM kibajaji bungeni.Sijaumelewa mleta uzi yani! Kwani waliotafsiri kivingine ni sisi wapokeaji au tigo? Mm nimefuatilia tangazo lao mwanzo mwisho hakuna sehemu tangazo lina viashiria vya ngono sasa ukitafsiri kivingine hilo ni lako na km TCRA wanataka kuzuia hilo tangazo wajipange vizuri wasijejikuta wanaishia kupelekana mahakamani. Maneno mengi tu wamejitafutia tafsiri zetu wenyewe basi tuyaondoe kwenye kiswahili.
Very true. Ama sivyo maneno yote tuliyojitafutia maana kureflect mambo ya ngono yafutwe kwenye kiswahiliMm naona tatizo sio tangaza tatizo ni mind set za wanaolipinga ilo tangazo
Sikumsikia alivyolalamika, ila km alisema tangazo linahasisha ngono basi nae atakuwa na shida kichwani mwakeTatizo alilalamika mbunge wa CCM kibajaji bungeni.
Aliongea bungeniSikumsikia alivyolalamika, ila km alisema tangazo linahasisha ngono basi nae atakuwa na shida kichwani mwake
Poa mkuu.Pamoja mkuu
Basi nae akili yake ndo imekomea hapo!!Aliongea bungeni