Tetesi: Inasemekana TCRA wamesema Tangazo la Jaza Ujazwe linakiuka maadili

Tetesi: Inasemekana TCRA wamesema Tangazo la Jaza Ujazwe linakiuka maadili

Sijaumelewa mleta uzi yani! Kwani waliotafsiri kivingine ni sisi wapokeaji au tigo? Mm nimefuatilia tangazo lao mwanzo mwisho hakuna sehemu tangazo lina viashiria vya ngono sasa ukitafsiri kivingine hilo ni lako na km TCRA wanataka kuzuia hilo tangazo wajipange vizuri wasijejikuta wanaishia kupelekana mahakamani. Maneno mengi tu wamejitafutia tafsiri zetu wenyewe basi tuyaondoe kwenye kiswahili.
Na serikali inapoosema kwamba watu WANAOWAJAZA MIMBA wanafunzi wafungwe jela miaka 30 wanatumia vibaya neno KUJAZA au unatetea nini mkuu? Watu kama nyie ndio mnaorudisha nyuma maendeleo ya lugha yetu adhimu ya kiswahili hadi ikashindwa kutumika kama lugha ya kufundishia.
 
Aina hii ya matangazo inaonyesha ubunifu wa watu wetu wa masoko sasa! Wanachofikiria na jinsi wanavyowafikiria raia wao! Ni aibu kwa kweli, na sishangai kwa wavulana na wasichana mashuleni wanavyoharibu maadili yetu kinidhamu, tena waweza kuta hao ndio wanaopinga mimba za utotoni na tabia mbaya!
 
TCRA hii inayofanya kaz kwa mihemko ya wachache au nyingine?
Mkuu usitetee ukengefu. Ina maana TCRA walipoyataka makampuni ya simu yaondoe matangazo kwenye simu na kufutwa kwa tangazo hili la kichochezi wewe huoni kwamba wamefanya kazi ya maana? Acha kupinga kila kitu mkuu...TCRA wanafanya kazi nzuri ya kuwaondolea wananchi kero zilizokuwa zikiwasumbua kwa muda mrefu.
 
Tatizo siyo tangazo, tatizo ni akili za watu zimejaa mawazo mabaya! Katika hali tangazo na tafsiri ya kawaida hakuna ubaya ndani ya maneno hayo!
 
Tatizo siyo tangazo, tatizo ni akili za watu zimejaa mawazo mabaya! Katika hali tangazo na tafsiri ya kawaida hakuna ubaya ndani ya maneno hayo!
Usitetee ubatili mkuu. Mungu anakuona. Hata wabunifu wa tangazo hili walilenga kuweka TUSI ndio maana walimtumia Joti mpenda matusi ya rejareja kulitangaza. Jiongeze!
 
Walimuambia MKWERE eti HACHOMOKI. Akawauliza kwani ALICHOMEKA NINI?
 
Tigo walikosea kwa kweli, angalau wangesema Jaza Ujaziwe....
 
Tusi haliwi tusi mpaka pale utakapolitafsiri kama tusi!!

1)Mtoto wa Remtulah mseng3 2)Mtoto wa Remtulah ana hela ile kisenge!!!1
 
Ntawaona tiGo marofa kama wakilifuta.
Mbona nyie mnasema "nunua na dai risiti"
Hamuoni kuwa mnatukana!!!!!
 
Na serikali inapoosema kwamba watu WANAOWAJAZA MIMBA wanafunzi wafungwe jela miaka 30 wanatumia vibaya neno KUJAZA au unatetea nini mkuu? Watu kama nyie ndio mnaorudisha nyuma maendeleo ya lugha yetu adhimu ya kiswahili hadi ikashindwa kutumika kama lugha ya kufundishia.
Basi nimenyosha mikono kwa arguments zako cjaelewa kinachofaa zaidi km unajitaji kufundishwa au kukosowela. Kwa sasa ngoja niseme unachokiwaza ndio sahihi
 
Ukiangalia vizuri hata mtu aliyebuni lile tangazo la TUSI kwa kutumia mafumbo alikuwa anawaza ngono. TCRA wamewashtukia na kuwapiga nyundo ya kichwa hadi washike adabu yao.

Una viashiria vya chuki mkuu
 
Back
Top Bottom