Tetesi: Inasemekana Viongozi wa CHADEMA wanaenda kukamatwa na kutoachiliwa mpaka Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uishe

Tetesi: Inasemekana Viongozi wa CHADEMA wanaenda kukamatwa na kutoachiliwa mpaka Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uishe

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Taarifa niliyopenyezewa na mtu mwema inasema kuwa, kuna amri kuwakamata viongozi wote wa juu wa CHADEMA pamoja na Dkt Slaa imetoka juu.

Kuna uwezekano mkubwa wakapewa kesi itakayowatuliza ndani muda mrefu ili wasikiongoze chama kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba.

Tusiacche kuiombea Tanzania ambapo imefikia watu kutojali uhai wa wengine.
 
Washitakiwe tu maana kauli za kusema Samia Must Go ni Uhaini Mkubwa sana .
Kwa hiyo huu ndo ushahidi wa uhaini...?

"SAMIA MUST GO" imebeba elements zipi za uhaini...?

Nimemsikiliza Afande Muliro leo akitoa taarifa za kukamatwa kwao, he had no confidence at all.....

Kwa sababu hii, ilikuwa ni rahisi kumjua kuwa hajui asemalo na kile alichofanikiwa kukisema hata yeye mwenyewe hakiamini...!!
 
Hakuna uhaini wowote!, Waziri wa sasa wa Sheria, Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi ni bingwa mbobezi na mbobevu wa katiba, hataruhusu ujinga kama huo kwa nchi yetu!.
P
Wapewe tu uhaini Ili wakiwa huko mahabusu na joto hili lijalo oktoba,wauone ujinga wao walivyochezea reconciliation ya maza
 
Mbona wameachiwa tayari, Mama Samia hana hiyana mbona ni muungwana na msikivu.
 
Back
Top Bottom