Inasemekana Wachaga hupunguza laana au mikosi kwa kuigawa kwa wahudhuriaji kwenye misiba

Chai.
 
Kibaya zaidi unaeza kuta huyu mtoa post ana kikanisa chake anachowahubiria huu uongo kwa ni maono.
Basi kama ni hivi waamini Mungu hawana savabu ya kuendelea kumwamini mungu ambae hana uwezo wa kutimiza kile waumini walicho amini kutoka kwake mfano
Hakuna mtu anaeweza kuutoa uhai wa mwingine ila mungu.
Mungu ni mlinzi wa watu wake
Mtu gawezi kufa kabla ya siku mungu aliyompangia nk.
Hivi ni kwa nini watu humtukuza shetani kuwa na mamlaka na nguvu kiliko Mungu?

Enyi uzao wa Adamu amkeni katoka katika huo usingizi wa pono mliolala.
 
Tangu basha lako la kichaga likupige kibuti, umekuwa mkali kweli kwa hawa wanywa mbege
 
Mhhh hii kama ndo naisikia.
Anyway ngoja nizid jifunza.
So misiba ya wachaga tusileee?
 
Je unaamini.......
 
Mimi huwa sili misibani. Kuna dini moja wanachanganya kinyesi cha marehemu Na chakula.
Wachagga nao ni vilevile kumbe?
Muda wa msosi ni muda wangu wa kupotea misibani
Wakianza kupakua tu, unabeba zako koleo na jembe unatangulia makaburini, wao watakukuta baadae😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…