Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 1,949
- 4,759
Mbona unanifokea??Ngoja nisome halafu emu njoo chumbani mara 1
Kuniita chumbani tu, kuhudumia aah 😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unanifokea??Ngoja nisome halafu emu njoo chumbani mara 1
QUOTE="Sakizia, post: 50695202, member: 364824"]nimekoma biashara ya kwenda kula misibani ntakuwa nasubiri wakati wa kuzika tu nitahudhuria
😂😂😂 Punguza ubishi huoMbona unanifokea??
Kuniita chumbani tu, kuhudumia aah 😹😹
Hii ipo kwa watu wa Tanga na Moro na kuna nyuzi humu zinaeleza haya.huo utakuwa ni ubuyu ulioanzia huko uchagani kwa kuzani kuwa sababu wao wanafanyaga hivyo basi wanahisi na wengine woote wanakamtindo hako ka kutegeshea wenzao, ni sawa sawa na mwizi hamwamini mtu anaona kila mtu mwizi,au aliyezoea kuwaloga watoto wa wenzake basi hamwamini hata siku moja kumwachia mwanae, ana imani kwamba watamfanyia yale anayoyafanya kwa watoto wa wengine
Du ... siiamini habari hii kwa sababu mbili.Hii ni siri kubwa sana kwenye misiba ya wachaga , huwa ile wanaendaga kuzika home, wachaga huwaga wanaamua kwa siri kukamua baadhi ya viuchafu fulani hivi kutoka kwa yule maiti na kuchanganya kwenye supu au msosi ili watu wengi wakila msibani inasemekana kama ukoo una laana ya kifo basi itakuwa imeshagawanywa kwa watu wengiii wa koo na makabila meengi na kama imegawanya kwa maelfu basi kwenye familia ile itakuwa imepunguzwa sana hivyo hawatakuwa wanakufa kizembe zembe !! tena.
Yaani hapa maana yake wanai-dilute ile laana ya kifo au wanai-stretch ili ikose nguvu.
Bapa nakubaliana nao kabisa ndio maana utakuta wale wanaopenda kuhudhuria misiba na kula sana huko hawachukui muda na wao safari inawakuta hapa tatizo kumbe ni ile share ya mauti waliyokula sasa kama ulikuwa na miaka michache uliyoandikiwa basi utakuta ukila kwenye misiba kumi tu ya kichaga na we safari twende kwa pilato.
Kabila langu ubishi ndio kipaumbele chetu. 😹😂😂😂 Punguza ubishi huo
Kabila gani hilo tena wabishi hivyoKabila langu ubishi ndio kipaumbele chetu. 😹
tushawzoea nyie mkiambiwa ukweli mnadai mnachukiwa ila ukweli lazima muambiwe MNATUUMIZA WENZENU jamani wema wetu ndio unaotuponza kwa kweliBaada ya kuvimbiwa naona unakuja na hoja zisizo na uthibitisho, ulichoandika ni chao tena haina sukari wala vitafunio.
Chuki ni masikini, chuki ni laana, chuki ni upofu, chuki ni ujinga, chuki ni ushirikina. Tafuta pesa kijana achana na CHUKI.
Waha 😹Kabila gani hilo tena wabishi hivyo
Hiyo mbege umix na hiyo dompo bonge moja la cocktail 😋😋Wachaga tumekushangaa hii kitu umeitoa wapi meku?View attachment 3034839
yepi hayo? na uzi upi huo?Hii ipo kwa watu wa Tanga na Moro na kuna nyuzi humu zinaeleza haya.
ni imani tu za kizamani ambazo hazina matokeo, unachotakiwa kuogopa hapa ni kula chakula kichafu tu, laana haisambai kama wanavyoamini.Hii ni siri kubwa sana kwenye misiba ya wachaga , huwa ile wanaendaga kuzika home, wachaga huwaga wanaamua kwa siri kukamua baadhi ya viuchafu fulani hivi kutoka kwa yule maiti na kuchanganya kwenye supu au msosi ili watu wengi wakila msibani inasemekana kama ukoo una laana ya kifo basi itakuwa imeshagawanywa kwa watu wengiii wa koo na makabila meengi na kama imegawanya kwa maelfu basi kwenye familia ile itakuwa imepunguzwa sana hivyo hawatakuwa wanakufa kizembe zembe !! tena.
Yaani hapa maana yake wanai-dilute ile laana ya kifo au wanai-stretch ili ikose nguvu.
Bapa nakubaliana nao kabisa ndio maana utakuta wale wanaopenda kuhudhuria misiba na kula sana huko hawachukui muda na wao safari inawakuta hapa tatizo kumbe ni ile share ya mauti waliyokula sasa kama ulikuwa na miaka michache uliyoandikiwa basi utakuta ukila kwenye misiba kumi tu ya kichaga na we safari twende kwa pilato.
Ila ufunge suruali na mpira kwa chini lolote linaweza kutokea punde si punde .Hiyo mbege umix na hiyo dompo bonge moja la cocktail 😋😋
Mbege hainaga hiyo, labda kimpumu 😹Ila ufunge suruali na mpira kwa chini lolote linaweza kutokea punde si punde .
Acha kupotosha dogo. Haitasaidia kitu hiki ufanyacho.ufutwe ili mzidi kutumaliza? mtuhurumie nasie jamani
Dah 😋😋 ila mbege nzuri usichanganye unakunywa hata sado na nyama nyingi .Mbege hainaga hiyo, labda kimpumu 😹
Mbege hiyo nikiendaga kwa bibi tunakunywa sana, na tuna mix na castle lager au safari