Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,377
- 2,800
Hahah kabisa mkuu si busara kula msiba wa wachaganimekoma biashara ya kwenda kula misibani ntakuwa nasubiri wakati wa kuzika tu nitahudhuria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah kabisa mkuu si busara kula msiba wa wachaganimekoma biashara ya kwenda kula misibani ntakuwa nasubiri wakati wa kuzika tu nitahudhuria
umeona eeh kumbe ni hatariHahah kabisa mkuu si busara kula msiba wa wachaga
Kinyesi cha marehemu kinapatikanaje?Mimi huwa sili misibani. Kuna dini moja wanachanganya kinyesi cha marehemu Na chakula.
Wachagga nao ni vilevile kumbe?
Muda wa msosi ni muda wangu wa kupotea misibani
ndio mambo yenu hayo siku zoote tushayazoea mkiguswa tu kwenye ukweli mnakimbilia tunachafuliwa pili sina chuki na wakristo kwani we unajua mi ni dini gani broo?Hii sasa ni kashfa ndioo.
Wachaga wamekukosea nini?
Unachuki na wachaga plus wakristo.
akifa mtu huwa kinyesi kinatokaga tu mkojo kila kitu vyenyewe hiyo huwa hawapati taabu kuvipataKinyesi cha marehemu kinapatikanaje?
kumbe wenzetu mlikuwa mnaijua siri hii tangu zamani ila mnakaa kimya tuuHuwa sili kwenye msiba wowote.
Na harusi nachangia ila siendi labda ya co-worker ili kesho asipate umbea kuwa jamaa hakuja.
Elimu yako ya mwisho tafadhaliHii ni siri kubwa sana kwenye misiba ya wachaga , huwa ile wanaendaga kuzika home, wachaga huwaga wanaamua kwa siri kukamua baadhi ya viuchafu fulani hivi kutoka kwa yule maiti na kuchanganya kwenye supu au msosi ili watu wengi wakila msibani inasemekana kama ukoo una laana ya kifo basi itakuwa imeshagawanywa kwa watu wengiii wa koo na makabila meengi na kama imegawanya kwa maelfu basi kwenye familia ile itakuwa imepunguzwa sana hivyo hawatakuwa wanakufa kizembe zembe !! tena.yaani hapa maana yake wanai-dilute hile laana ya kifo au wanai-stretch ili ikose nguvu,hapa nakubaliana nao kabisa ndio maana utakuta wale wanaopenda kuhudhuria misiba na kula sana huko hawachukui muda na wao safari inawakuta hapa tatizo kumbe ni ile share ya mauti waliyokula sasa kama ulikuwa na miaka michache uliyoandikiwa basi utakuta ukila kwenye misiba kumi tu ya kichaga na we safari twende kwa pilato.
NA YALE MAJI TUNANANAWA MNAKUSANYA KWENYE PIPA MSIBAN NA ZILE SEVIETTE WAHAYÀ HUWA MNAZIPELEKAGA WAPIHii ni siri kubwa sana kwenye misiba ya wachaga , huwa ile wanaendaga kuzika home, wachaga huwaga wanaamua kwa siri kukamua baadhi ya viuchafu fulani hivi kutoka kwa yule maiti na kuchanganya kwenye supu au msosi ili watu wengi wakila msibani inasemekana kama ukoo una laana ya kifo basi itakuwa imeshagawanywa kwa watu wengiii wa koo na makabila meengi na kama imegawanya kwa maelfu basi kwenye familia ile itakuwa imepunguzwa sana hivyo hawatakuwa wanakufa kizembe zembe !! tena.yaani hapa maana yake wanai-dilute hile laana ya kifo au wanai-stretch ili ikose nguvu,hapa nakubaliana nao kabisa ndio maana utakuta wale wanaopenda kuhudhuria misiba na kula sana huko hawachukui muda na wao safari inawakuta hapa tatizo kumbe ni ile share ya mauti waliyokula sasa kama ulikuwa na miaka michache uliyoandikiwa basi utakuta ukila kwenye misiba kumi tu ya kichaga na we safari twende kwa pilato.
hilo nalo neno anzishia thred plzNA YALE MAJI TUNANANAWA MNAKUSANYA KWENYE PIPA MSIBAN NA ZILE SEVIETTE WAHAYÀ HUWA MNAZIPELEKAGA WAPI
SAMAHAN KUULIZA??
Wachawi waleemkuu awaxhelewi kunimaliza hii michezo nimeiona sana misiba ya wahaya wakubwa huku mbezi beach na unakuta ana nyumba masaki analeta na mabasi mnajazana mpaka masaki na kurudi#$ hapo wanataka yale maji na sevieti zenu....hilo nalo neno anzishia thred plz
Katunzi alisema ndio Life yako imekwenda na maji😂NA YALE MAJI TUNANANAWA MNAKUSANYA KWENYE PIPA MSIBAN NA ZILE SEVIETTE WAHAYÀ HUWA MNAZIPELEKAGA WAPI
SAMAHAN KUULIZA??