Inasemekana Wachaga hupunguza laana au mikosi kwa kuigawa kwa wahudhuriaji kwenye misiba

Inasemekana Wachaga hupunguza laana au mikosi kwa kuigawa kwa wahudhuriaji kwenye misiba

hiyo kuhusu dini sijawahi kusikia ila unaweza ku-conclude tu kama wachaga wanafanya hivi je wachaga majority ni dini gani? ukipata jawabu hapa utaijua hiyo dini inayofanya hivi sababu itakuwa pia imefumbia macho baadhi ya mambo machafu kama haya ndio maana yanafanyika
 
Hii ni siri kubwa sana kwenye misiba ya wachaga , huwa ile wanaendaga kuzika home, wachaga huwaga wanaamua kwa siri kukamua baadhi ya viuchafu fulani hivi kutoka kwa yule maiti na kuchanganya kwenye supu au msosi ili watu wengi wakila msibani inasemekana kama ukoo una laana ya kifo basi itakuwa imeshagawanywa kwa watu wengiii wa koo na makabila meengi na kama imegawanya kwa maelfu basi kwenye familia ile itakuwa imepunguzwa sana hivyo hawatakuwa wanakufa kizembe zembe !! tena.yaani hapa maana yake wanai-dilute hile laana ya kifo au wanai-stretch ili ikose nguvu,hapa nakubaliana nao kabisa ndio maana utakuta wale wanaopenda kuhudhuria misiba na kula sana huko hawachukui muda na wao safari inawakuta hapa tatizo kumbe ni ile share ya mauti waliyokula sasa kama ulikuwa na miaka michache uliyoandikiwa basi utakuta ukila kwenye misiba kumi tu ya kichaga na we safari twende kwa pilato.
Elimu yako ya mwisho tafadhali

Tusijetenda dhambi
 
Hii ni siri kubwa sana kwenye misiba ya wachaga , huwa ile wanaendaga kuzika home, wachaga huwaga wanaamua kwa siri kukamua baadhi ya viuchafu fulani hivi kutoka kwa yule maiti na kuchanganya kwenye supu au msosi ili watu wengi wakila msibani inasemekana kama ukoo una laana ya kifo basi itakuwa imeshagawanywa kwa watu wengiii wa koo na makabila meengi na kama imegawanya kwa maelfu basi kwenye familia ile itakuwa imepunguzwa sana hivyo hawatakuwa wanakufa kizembe zembe !! tena.yaani hapa maana yake wanai-dilute hile laana ya kifo au wanai-stretch ili ikose nguvu,hapa nakubaliana nao kabisa ndio maana utakuta wale wanaopenda kuhudhuria misiba na kula sana huko hawachukui muda na wao safari inawakuta hapa tatizo kumbe ni ile share ya mauti waliyokula sasa kama ulikuwa na miaka michache uliyoandikiwa basi utakuta ukila kwenye misiba kumi tu ya kichaga na we safari twende kwa pilato.
NA YALE MAJI TUNANANAWA MNAKUSANYA KWENYE PIPA MSIBAN NA ZILE SEVIETTE WAHAYÀ HUWA MNAZIPELEKAGA WAPI
SAMAHAN KUULIZA??
 
hilo nalo neno anzishia thred plz
Wachawi waleemkuu awaxhelewi kunimaliza hii michezo nimeiona sana misiba ya wahaya wakubwa huku mbezi beach na unakuta ana nyumba masaki analeta na mabasi mnajazana mpaka masaki na kurudi#$ hapo wanataka yale maji na sevieti zenu....
 
Tamaduni ya watu was Malawi .... Maji aliyoogeshwa Maiti mnakuja kuchanganyiwa kwenye chakula.
Baada ya Msiba kati ya wale mlioshiriki chakula anarudisha ID.
 
Back
Top Bottom