Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Hatuwezi kuwapa bila wao kujipendekeza, eti wako busy na historia wakati wengine tuko busy na electronics, (elektroniki), adaptation to technologyHayo maji wapeni na wenzenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuwezi kuwapa bila wao kujipendekeza, eti wako busy na historia wakati wengine tuko busy na electronics, (elektroniki), adaptation to technologyHayo maji wapeni na wenzenu
Na mkongo wanapakaNa bangi wanavuta
Kichwa cha habari kinaituhumu Yanga, habari yenyewe inamhusu Pogba.Simba iliwahi kuambiwa inapuliza dawa kwenye vyumba vya wapinzani,ikapuuzia kashfa ikafa kimya kimya
Sasa kuna kashfa moja huko mitandaoni kuwa wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kuongeza nguvu.
Siku CAF wakiamua kuwapima wachezaji ikionekana ni kweli tumekwisha. Kuna timu huwa zinafanya umafia kwa kuchanganya hizi dawa kwenye msosi saa chache kabla ya mechi,mchezaji anakula bila kujua
Kuna wengine wanatumia makusudi mfano Pogba na kolo Toure
Pogba ndio ameshaumaliza mwendo ghafla,
hachomoki,na ameshaanza kufirisika,jumba lake la kifahari analiuza
Kinachomuuma huyu jamaa ni kwamba Yanga imefunga Vitalo jumla ya goli kumi katika mechi mbili sawa na wsstani wa goli tano kila mechi. Anataka timu kufungwa goli tano na Yanga iwe hakimilki ya Makolo. Kaumia sana maana Bacuti aliwasifia mno. Ni mtu ambaye hapo alipo anaiombea Yanga mambo mabaya. Kuanzisha mjadala wa kijinga ni kipimo tosha cha jinsi alivyo. Sitashangaa kama yeye sio raia.Simba iliwahi kuambiwa inapuliza dawa kwenye vyumba vya wapinzani,ikapuuzia kashfa ikafa kimya kimya
Sasa kuna kashfa moja huko mitandaoni kuwa wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kuongeza nguvu.
Siku CAF wakiamua kuwapima wachezaji ikionekana ni kweli tumekwisha. Kuna timu huwa zinafanya umafia kwa kuchanganya hizi dawa kwenye msosi saa chache kabla ya mechi,mchezaji anakula bila kujua
Kuna wengine wanatumia makusudi mfano Pogba na kolo Toure
Pogba ndio ameshaumaliza mwendo ghafla,
hachomoki,na ameshaanza kufirisika,jumba lake la kifahari analiuza
Na blich wanapakaNa mkongo wanapaka
Bacuti akli ziko tumboni hajiekewi yuleKinachomuuma huyu jamaa ni kwamba Yanga imefunga Vitalo jumla ya goli kumi katika mechi mbili sawa na wsstani wa goli tano kila mechi. Anataka timu kufungwa goli tano na Yanga iwe hakimilki ya Makolo. Kaumia sana maana Bacuti aliwasifia mno. Ni mtu ambaye hapo alipo anaiombea Yanga mambo mabaya. Kuanzisha mjadala wa kijinga ni kipimo tosha cha jinsi alivyo. Sitashangaa kama yeye sio raia.
Unaondoa h: azijaanza; ziliwai; awana; ata; alafu; ivyo. Shule muhimuHizi porojo azijaanza Leo na bahati mbaya zinatolewa na ziliwai kutolewa na wajinga wajinga ambao Awana ata ushahidi na walishindwa kutoa ata ushahidi, ubora wa yanga unaanzia kwa fitness coach anayefanya kazi yake vizuri, usidhani mpaka yanga kafika robo fainali klabu bingwa kucheza na timu zenye figisu Kila idara alafu washindwe kupima ivyo vitu, unapokuwa na timu ya UNGA UNGA mwana ndio utaleta porojo za kipuuzi Kama izo
Kwani umesikia hapa tunafundishana kuandika au hujielewi mzeeUnaondoa h: azijaanza; ziliwai; awana; ata; alafu; ivyo. Shule muhimu
Acha ujingaKwani umesikia hapa tunafundishana kuandika au hujielewi mzee
Kumbe una yako! Nilidhani una point kumbe…Mbona haya ni Mazoezi ya marede
Yeah, siyo poa mzee.Papuchi tena
Wewe ndio mjingaAcha ujinga
Na shisha, hahahaaNa bangi wanavuta
Hahahahaha nimezoea kuona pumba kama hivi kwa baadhi ya id humu, ila hadi id hii nayo inaleta story hz kweli Tanzania kuna kaziYanga wanacheza mpira mkubwa sana lazima watu wapate hofu kwasababu haijazoeleka
Hadi ugoro wana gongaNa shisha, hahahaa
Bado hamjasema. Mpaka msimu utakapo tamatika, mtaongea yote.
Mlianza na bahasha! Mara GSM anafadhili timu nyingi!