Tetesi: Inasemekana Wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kusisimua mwili uongozi utoe tamko au upuuzie?

Tetesi: Inasemekana Wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kusisimua mwili uongozi utoe tamko au upuuzie?

Simba iliwahi kuambiwa inapuliza dawa kwenye vyumba vya wapinzani,ikapuuzia kashfa ikafa kimya kimya

Sasa kuna kashfa moja huko mitandaoni kuwa wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kuongeza nguvu.

Siku CAF wakiamua kuwapima wachezaji ikionekana ni kweli tumekwisha. Kuna timu huwa zinafanya umafia kwa kuchanganya hizi dawa kwenye msosi saa chache kabla ya mechi,mchezaji anakula bila kujua

Kuna wengine wanatumia makusudi mfano Pogba na kolo Toure

Pogba ndio ameshaumaliza mwendo ghafla,

hachomoki,na ameshaanza kufirisika,jumba lake la kifahari analiuza
Wewe puga tuliza makalio hayo
 
Simba iliwahi kuambiwa inapuliza dawa kwenye vyumba vya wapinzani,ikapuuzia kashfa ikafa kimya kimya

Sasa kuna kashfa moja huko mitandaoni kuwa wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kuongeza nguvu.

Siku CAF wakiamua kuwapima wachezaji ikionekana ni kweli tumekwisha. Kuna timu huwa zinafanya umafia kwa kuchanganya hizi dawa kwenye msosi saa chache kabla ya mechi,mchezaji anakula bila kujua

Kuna wengine wanatumia makusudi mfano Pogba na kolo Toure

Pogba ndio ameshaumaliza mwendo ghafla,

hachomoki,na ameshaanza kufirisika,jumba lake la kifahari analiuza
Bado hamjasema
 
Tumeona leo na jumamosi bila visisimua misuli kazi yao nyepesi sana
1000184415.jpg
 
Hata kwenye timu ya taifa bacca na job na mzize wanatumia dawa au mazoezi?
Manake wamekiwasha mwanzo mwisho
 
Simba iliwahi kuambiwa inapuliza dawa kwenye vyumba vya wapinzani,ikapuuzia kashfa ikafa kimya kimya

Sasa kuna kashfa moja huko mitandaoni kuwa wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kuongeza nguvu.

Siku CAF wakiamua kuwapima wachezaji ikionekana ni kweli tumekwisha. Kuna timu huwa zinafanya umafia kwa kuchanganya hizi dawa kwenye msosi saa chache kabla ya mechi,mchezaji anakula bila kujua

Kuna wengine wanatumia makusudi mfano Pogba na kolo Toure

Pogba ndio ameshaumaliza mwendo ghafla,

hachomoki,na ameshaanza kufirisika,jumba lake la kifahari analiuza
Je kwrnye michezo miwili ya timu ya taifa nako walidungwa hizo sindano?
 
Back
Top Bottom