Wewe puga tuliza makalio hayoSimba iliwahi kuambiwa inapuliza dawa kwenye vyumba vya wapinzani,ikapuuzia kashfa ikafa kimya kimya
Sasa kuna kashfa moja huko mitandaoni kuwa wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kuongeza nguvu.
Siku CAF wakiamua kuwapima wachezaji ikionekana ni kweli tumekwisha. Kuna timu huwa zinafanya umafia kwa kuchanganya hizi dawa kwenye msosi saa chache kabla ya mechi,mchezaji anakula bila kujua
Kuna wengine wanatumia makusudi mfano Pogba na kolo Toure
Pogba ndio ameshaumaliza mwendo ghafla,
hachomoki,na ameshaanza kufirisika,jumba lake la kifahari analiuza
Duu umenikumbusha gozoHadi ugoro wana gonga
Bado hamjasemaSimba iliwahi kuambiwa inapuliza dawa kwenye vyumba vya wapinzani,ikapuuzia kashfa ikafa kimya kimya
Sasa kuna kashfa moja huko mitandaoni kuwa wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kuongeza nguvu.
Siku CAF wakiamua kuwapima wachezaji ikionekana ni kweli tumekwisha. Kuna timu huwa zinafanya umafia kwa kuchanganya hizi dawa kwenye msosi saa chache kabla ya mechi,mchezaji anakula bila kujua
Kuna wengine wanatumia makusudi mfano Pogba na kolo Toure
Pogba ndio ameshaumaliza mwendo ghafla,
hachomoki,na ameshaanza kufirisika,jumba lake la kifahari analiuza
Inawezekana mimi ni mtu wa kwanza kabisa kuliongelea hili sualaTayari
Je kwrnye michezo miwili ya timu ya taifa nako walidungwa hizo sindano?Simba iliwahi kuambiwa inapuliza dawa kwenye vyumba vya wapinzani,ikapuuzia kashfa ikafa kimya kimya
Sasa kuna kashfa moja huko mitandaoni kuwa wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kuongeza nguvu.
Siku CAF wakiamua kuwapima wachezaji ikionekana ni kweli tumekwisha. Kuna timu huwa zinafanya umafia kwa kuchanganya hizi dawa kwenye msosi saa chache kabla ya mechi,mchezaji anakula bila kujua
Kuna wengine wanatumia makusudi mfano Pogba na kolo Toure
Pogba ndio ameshaumaliza mwendo ghafla,
hachomoki,na ameshaanza kufirisika,jumba lake la kifahari analiuza
Na Muda.Hata kwenye timu ya taifa bacca na job na mzize wanatumia dawa au mazoezi?
Manake wamekiwasha mwanzo mwisho