Tetesi: Inasemekana wagner group waamua kuisupport ukrane

Tetesi: Inasemekana wagner group waamua kuisupport ukrane

MT255

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2012
Posts
3,606
Reaction score
4,914
Wana jamvi... Kwa moto wanaopelekewa jeshi la russia kuna uwezekano mkubwa vijana wa Yevgeny Prigozhin wameamua kupigana bega kwa bega kulipiza kisasi cha kuuliwa boss wao, maana mpaka muda huu tunavyoongea russia bado ana hangaika kuisogelea kursk na ameshindwa kutokana na kipigo anachokutana nacho....rais Russia ambaye ndiye amir jeshi mkuu haamini kinachotokea. Jeshi la russia jana limesema jeshi la Ukraine limevinja madaraja yote wanayokutana nayo wakisonga mbele....

1.Je huu ndio wakati wa WAGNER kumalizia safar yao walio anzisha wakiwa na boss wao Yevgeny Prigozhin kuelekea MOSCOW?

2.Je huu ndio mwisho wa PUTIN?

3.Malalamiko ya Russia kuwa Ukraine anatumia silaha za western yana mashiko ikiwa yeye pia anatumia silaha kutoka IRAN, KOREA?

4.kwa malalamiko haya russia inakili kuwa silaha za korea, iran hazijasaidia chochote dhidi ya Ukraine?

5.Russia amekili adharani kuwa Ukraine anatumia silaha za western kuishambulia Russia.... Kwa mantiki hiyo silaha za western ni bora kuliko yeye?

[emoji724]Breaking news[emoji724]
Inasemekana RUSSIA baada ya kuona inaelemewa imeomba msaada CHECHNYA lakini bado ngoma ngumu kwa RUSSIA

UKRAINE imeteka dazani ya wanajeshi wa Chechnya
Link hii [emoji116][emoji116]
 
Wana jamvi... Kwa moto wanaopelekewa jeshi la russia kuna uwezekano mkubwa vijana wa Yevgeny Prigozhin wameamua kupigana bega kwa bega kulipiza kisasi cha kuuliwa boss wao, maana mpaka muda huu tunavyoongea russia bado ana hangaika kuisogelea kursk na ameshindwa kutokana na kipigo anachokutana nacho....rais Russia ambaye ndiye amir jeshi mkuu haamini kinachotokea. Jeshi la russia jana limesema jeshi la Ukraine limevinja madaraja yote wanayokutana nayo wakisonga mbele....

1.Je huu ndio wakati wa WAGNER kumalizia safar yao walio anzisha wakiwa na boss wao Yevgeny Prigozhin kuelekea MOSCOW?

2.Je huu ndio mwisho wa PUTIN?

3.Malalamiko ya Russia kuwa Ukraine anatumia silaha za western yana mashiko ikiwa yeye pia anatumia silaha kutoka IRAN, KOREA?
Hatma ya Vita hiyo ni aidha majeshi ya kutoka nchi za Magharibi kuingia uwanjani moja kwa moja na kuwasaidia Wanajeshi wa Ukraine au kuhamishia uwanja wa vita kutoka nchini Ukraine na kupeleka nchini Urusi. Hii ifanyike kwa kuwahamasisha na kuwasaidia Wananchi wa Urusi ambao wako against dhidi ya Utawala wa Bw. Putin. To motivate, to support, to equip, to train Separatists of the Russian territory in order to sabotage the Russian Military capabilities and finally incapacitating it in launching an offensive attacks against Ukrainian territory.
 
Itaendelea kusemekana mkuu, na endelea kuota lakini nikufahamishe tu pameshakucha.
Nakukumbusha tu mpaka muda huu wewe unajibu hii thread ukrane wapo ndani ya Russia wanaendelea na shughuli zao jeshi la russia mpaka muda huu lina hangaika kuwazuia elewa sio kuwatoa kuwazuia wasisonge mbele....
 
Nakukumbusha tu mpaka muda huu wewe unajibu hii thread ukrane wapo ndani ya Russia wanaendelea na shughuli zao jeshi la russia mpaka muda huu lina hangaika kuwazuia elewa sio kuwatoa kuwazuia wasisonge mbele....
Umesema Wagner wamefanyaje Tena?. Tatizo mkiona chochote X(Twitter) mnakimbilia kuleta humu uchafu kama thread.
 
Itakua sawa tu kama wataona inafaa.
Maana itakua ni mjumuisho wa Ukraine +NATO +Wagner +all collective west.
Wagner wakiisaidia Ukraine tutawachukulia kama mamluki wengine wa kawaida,hakuna jipya hapo.
 
Hatma ya Vita hiyo ni aidha majeshi ya kutoka nchi za Magharibi kuingia uwanjani moja kwa moja na kuwasaidia Wanajeshi wa Ukraine au kuhamishia uwanja wa vita kutoka nchini Ukraine na kupeleka nchini Urusi. Hii ifanyike kwa kuwahamasisha na kuwasaidia Wananchi wa Urusi ambao wako against dhidi ya Utawala wa Bw. Putin. To motivate, to support, to equip, to train Separatist of the Russian territory in order to sabotage the Russian Military capabilities and finally incapacitating it in launching offensive attacks to Ukrainian territory.
Usisahau Kuna china,Korea ya kaskazini,Iran,Syria,Algeria, Yemen, Vietnam na marafiki wengine wa Urusi wataibuka mara baada ya Hali kua kama unavyosema.
 
Wana jamvi... Kwa moto wanaopelekewa jeshi la russia kuna uwezekano mkubwa vijana wa Yevgeny Prigozhin wameamua kupigana bega kwa bega kulipiza kisasi cha kuuliwa boss wao, maana mpaka muda huu tunavyoongea russia bado ana hangaika kuisogelea kursk na ameshindwa kutokana na kipigo anachokutana nacho....rais Russia ambaye ndiye amir jeshi mkuu haamini kinachotokea. Jeshi la russia jana limesema jeshi la Ukraine limevinja madaraja yote wanayokutana nayo wakisonga mbele....

1.Je huu ndio wakati wa WAGNER kumalizia safar yao walio anzisha wakiwa na boss wao Yevgeny Prigozhin kuelekea MOSCOW?

2.Je huu ndio mwisho wa PUTIN?

3.Malalamiko ya Russia kuwa Ukraine anatumia silaha za western yana mashiko ikiwa yeye pia anatumia silaha kutoka IRAN, KOREA?

4.kwa malalamiko haya russia inakili kuwa silaha za korea, iran hazijasaidia chochote dhidi ya Ukraine?

5.Russia amekili adharani kuwa Ukraine anatumia silaha za western kuishambulia Russia.... Kwa mantiki hiyo silaha za western ni bora kuliko yeye?
Nawasubiri wavaa kobazi maana wao wanaona putin anapigania dini yao

USSR
 
Usisahau Kuna china,Korea ya kaskazini,Iran,Syria,Algeria, Yemen, Vietnam na marafiki wengine wa Urusi wataibuka mara baada ya Hali kua kama unavyosema.
Labda Korea ya Kaskazini, lakini kwa China sidhani kama anaweza akajiunga na Urusi.
Kumbuka: China Ina maslahi makubwa zaidi nchini Marekani na kwa washirika wake kuzidi maslahi yake yaliyopo nchini Urusi au Korea ya Kaskazini.
Aidha, vita ni biashara.
 
Shida ya vita ni kuwa hawa top leaders wapo kwenye TV wanatunishiana misuli lakini wanaokufa ni wengine kabisa, shenzy taipu, they need to stop war these criminals
Naam huo ushenz ndo sababu nilikataa katakata kujiunga na jeshi lolote.

Wanasiasa wabinafsi sana.
 
Usisahau Kuna china,Korea ya kaskazini,Iran,Syria,Algeria, Yemen, Vietnam na marafiki wengine wa Urusi wataibuka mara baada ya Hali kua kama unavyosema.
Hivi China huwa mnawachukulia nao hawajitambui kama hizo nchi za hao makubadhi wanaopenda vita kuliko hata ugali? Yaani China unamweka kundi moja na Syria, Yemen na North Korea ambao 24/7 wanawaza ugomvi na hawana cha kupoteza

Yaani mnafikiri wanaweza kukurupuka tu na kuanza kuvuruga kirahisi tu uchumi wao walioutolea jasho zito eti wanampambania Russia? Watu wale wanajitambua, wamepiga hesabu pale Taiwan wakaona hasara itakuwa kubwa kuliko faida wakakausha, ila waswahili tunaofananisha vita na minyukano ya simba na yanga tunadhani kila nchi ipo tayari kukurupuka na kwenda kupigana tu bila kuzingatia consequences za uamuzi huo!
 
Back
Top Bottom