Lee Van free
JF-Expert Member
- Aug 14, 2024
- 1,535
- 5,332
Ni kweli kabisa kwamba Urusi Ina nguvu zaidi ukilinganisha na nguvu walizonazo nchi majirani zake ambazo nyingi ya nchi hizo zilikuwa sehemu ya nchi ya Urusi ya zamani au Umoja wa Kisovieti ya Urusi (USSR). Kwa Sasa, ili kuendelea kuipunguzia nguvu zaidi nchi hiyo ya Urusi njia pekee iliyo Bora zaidi ni hizo nchi jirani na mahasimu wa Urusi waungane na washirika wao wa Magharibi ili waweze kuendelea kuivunja-vunja nchi hiyo ya Urusi. Waihujumu Urusi ili majimbo mengi zaidi ya Urusi yaweze kujitenga na kuanzisha nchi zao zingine zinazojitegemea, hii itasaidia Sana kuisambaratisha Urusi na kudhoofisha nguvu zake za kijeshi na hatimaye nchi hiyo ya Urusi itashindwa kabisa kuanzisha Tena chokochoko za Vita dhidi ya majirani zake.Dah aisee ila Urusi ni kiboko aisee!
Mie sikuwahi kujua kama Urusi Ina nguvu namna hii.
Yaani mnawaza Kila aina ya kuunganisha nguvu ili kuishinda Urusi moja.
Si tulikubaliana kua USA ndio super power?
Leo Tena USA na NATO hawajatosha wanataka kuungana na Wagner.?
Hii inaonesha ni jinsi Gani Urusi Ina nguvu kubwa.
Anatakatisha chupi nyeupe kwa maji ya mtaro wa choonjWana jamvi... Kwa moto wanaopelekewa jeshi la russia kuna uwezekano mkubwa vijana wa Yevgeny Prigozhin wameamua kupigana bega kwa bega kulipiza kisasi cha kuuliwa boss wao, maana mpaka muda huu tunavyoongea russia bado ana hangaika kuisogelea kursk na ameshindwa kutokana na kipigo anachokutana nacho....rais Russia ambaye ndiye amir jeshi mkuu haamini kinachotokea. Jeshi la russia jana limesema jeshi la Ukraine limevinja madaraja yote wanayokutana nayo wakisonga mbele....
1.Je huu ndio wakati wa WAGNER kumalizia safar yao walio anzisha wakiwa na boss wao Yevgeny Prigozhin kuelekea MOSCOW?
2.Je huu ndio mwisho wa PUTIN?
3.Malalamiko ya Russia kuwa Ukraine anatumia silaha za western yana mashiko ikiwa yeye pia anatumia silaha kutoka IRAN, KOREA?
4.kwa malalamiko haya russia inakili kuwa silaha za korea, iran hazijasaidia chochote dhidi ya Ukraine?
5.Russia amekili adharani kuwa Ukraine anatumia silaha za western kuishambulia Russia.... Kwa mantiki hiyo silaha za western ni bora kuliko yeye?
Unayo Internet access alafu unauliza maswali nenda ChatGPT ukaulize kwa artificial intelligenceKwa hiyo Russia ni sawa na Rwanda au mie si jaelewa.
Ndo amzuie ukrane asisonge mbeleDah aisee ila Urusi ni kiboko aisee!
Mie sikuwahi kujua kama Urusi Ina nguvu namna hii.
Yaani mnawaza Kila aina ya kuunganisha nguvu ili kuishinda Urusi moja.
Si tulikubaliana kua USA ndio super power?
Leo Tena USA na NATO hawajatosha wanataka kuungana na Wagner.?
Hii inaonesha ni jinsi Gani Urusi Ina nguvu kubwa.
Dah aisee ila Urusi ni kiboko aisee!
Mie sikuwahi kujua kama Urusi Ina nguvu namna hii.
Yaani mnawaza Kila aina ya kuunganisha nguvu ili kuishinda Urusi moja.
Si tulikubaliana kua USA ndio super power?
Leo Tena USA na NATO hawajatosha wanataka kuungana na Wagner.?
Hii inaonesha ni jinsi Gani Urusi Ina nguvu kubwa.
Ukimaliza kujamba soma hapa russia wenyewe wanakili wamestukizwa😂Anatakatisha chupi nyeupe kwa maji ya mtaro wa choonj
silaha za western ni bora kuliko yeye?
Hujajibu swali acha kutatalika kama mahindi kwenye moto.... Kushambuliwa au kuharibika kwa chombo chochote kwenye mapigano sio hoja ya msingi hakuna sehemu ukrane analalamika kuwa anashambuliwa sana kwa sababu Russia anatumia silaha za iran au n. Korea lakini tunaona kiongozi wa inchi bwana putin analalamika ukrane inasonga mbele kwa sababu inatumia silaha za western hiyo ndo hoja.... Ishu ya kuharibika vifaa hiyo sio ishu ukrane anatungua mpaka mandege ya kimkakati kama b52 hajawahi kulalamika.... 🤣🤣🤣
Labda Korea ya Kaskazini, lakini kwa China sidhani kama anaweza akajiunga na Urusi.
Kumbuka: China Ina maslahi makubwa zaidi nchini Marekani na kwa washirika wake kuzidi maslahi yake yaliyopo nchini Urusi au Korea ya Kaskazini.
Aidha, vita ni biashara.
Suala la Taiwan halijapuuziwa lina muda wake.Hivi China huwa mnawachukulia nao hawajitambui kama hizo nchi za hao makubadhi wanaopenda vita kuliko hata ugali? Yaani China unamweka kundi moja na Syria, Yemen na North Korea ambao 24/7 wanawaza ugomvi na hawana cha kupoteza
Yaani mnafikiri wanaweza kukurupuka tu na kuanza kuvuruga kirahisi tu uchumi wao walioutolea jasho zito eti wanampambania Russia? Watu wale wanajitambua, wamepiga hesabu pale Taiwan wakaona hasara itakuwa kubwa kuliko faida wakakausha, ila waswahili tunaofananisha vita na minyukano ya simba na yanga tunadhani kila nchi ipo tayari kukurupuka na kwenda kupigana tu bila kuzingatia consequences za uamuzi huo!
Uhusiano wa karibu upo, ila kwenye ishu za vita endeleeni kuwategemea China kwamba wataingiaSuala la Taiwan halijapuuziwa lina muda wake.
Mataifa makubwa hayaendeshi mambo yao vile wewe utakavyo wafanye.
China, Korea kaskazini, Urusi, Iran wana uhusiano wa karibu sana.
Haitakuwa mara ya kwanza China kushiriki vita za namna hii pale tu washirika wake muhimu na maslahi yake muhimu yatakapo kuwa hatarini.Uhusiano wa karibu upo, ila kwenye ishu za vita endeleeni kuwategemea China kwamba wataingia
Ha ha ha unaota wewe.Usisahau Kuna china,Korea ya kaskazini,Iran,Syria,Algeria, Yemen, Vietnam na marafiki wengine wa Urusi wataibuka mara baada ya Hali kua kama unavyosema.
Hilo ulosema ni la kwanza, la pili; China anahofia akijiingiza tu kwa Russia, Taiwan itajiinua zaidi, na hapo bado China ana maadui wengi sana wamemzunguka.Labda Korea ya Kaskazini, lakini kwa China sidhani kama anaweza akajiunga na Urusi.
Kumbuka: China Ina maslahi makubwa zaidi nchini Marekani na kwa washirika wake kuzidi maslahi yake yaliyopo nchini Urusi au Korea ya Kaskazini.
Aidha, vita ni biashara.
Wana jamvi... Kwa moto wanaopelekewa jeshi la russia kuna uwezekano mkubwa vijana wa Yevgeny Prigozhin wameamua kupigana bega kwa bega kulipiza kisasi cha kuuliwa boss wao, maana mpaka muda huu tunavyoongea russia bado ana hangaika kuisogelea kursk na ameshindwa kutokana na kipigo anachokutana nacho....rais Russia ambaye ndiye amir jeshi mkuu haamini kinachotokea. Jeshi la russia jana limesema jeshi la Ukraine limevinja madaraja yote wanayokutana nayo wakisonga mbele....
1.Je huu ndio wakati wa WAGNER kumalizia safar yao walio anzisha wakiwa na boss wao Yevgeny Prigozhin kuelekea MOSCOW?
2.Je huu ndio mwisho wa PUTIN?
3.Malalamiko ya Russia kuwa Ukraine anatumia silaha za western yana mashiko ikiwa yeye pia anatumia silaha kutoka IRAN, KOREA?
4.kwa malalamiko haya russia inakili kuwa silaha za korea, iran hazijasaidia chochote dhidi ya Ukraine?
5.Russia amekili adharani kuwa Ukraine anatumia silaha za western kuishambulia Russia.... Kwa mantiki hiyo silaha za western ni bora kuliko yeye?