Inashangaza Kenya wanalalamika mambo ya Loliondo na wanahojiwa Aljazeera TV. Je, kuna mamluki Loliondo toka Kenya?

Inashangaza Kenya wanalalamika mambo ya Loliondo na wanahojiwa Aljazeera TV. Je, kuna mamluki Loliondo toka Kenya?

image ya nchi inapoharibika kwako wewe ni sawa tu kwasababu ya tofauti za kisiasa, kesho waKenya wakitaka kuchukua Mlima kilimanjaro kwako ni sawa tu.... Uganda wakivamia Bukoba kwako ni sawa tu...

Kuna wakati tujifunze kutofautisha siasa zetu hizi na mambo ya msingi yanayogusu Taifa letu kama Watanzania na yatakayoacha shida kwa vizazi na vizazi...hata hao unaoamini wanaibiwa kura infuture wakishika dola watapambana na hizo athari..

Wakenya wanatumia akili kama hizi kuhakikisha hizo Mbuga zinakufa na biashara inabidi kwao, unafikiri hapa athari ni kwa hawa unao waita majizi tu?
Bavicha imejaa wapumbavu sana! Ni hatari kuwa na mwanasiasa asielewa maana ya national Interest
 
Waziri mkuu si alisema hali ni shwari na RC anatangaza kuuliwa kwa askari huku akiacha kutaja wananchi waliojeruhiwa mpaka hapa nikidhibitisho kuwa hakuna utetezi dhidi ya raia bali ni maslahi binafsi yamepewa kipaumbele!
Mambo ya hovyo kabisa, wanatangaza askari kufa kwa mshale, lakini picha za maasai majeruhi hawazikubali,
Tunaambiwa hali ni shwari kabisa.

Msemaji wa Serikali anapongeza vyombo vya habari kutotoa taarifa,

Je ni taarifa zipi zinazofichwa?
 
image ya nchi inapoharibika kwako wewe ni sawa tu kwasababu ya tofauti za kisiasa, kesho waKenya wakitaka kuchukua Mlima kilimanjaro kwako ni sawa tu.... Uganda wakivamia Bukoba kwako ni sawa tu...

Kuna wakati tujifunze kutofautisha siasa zetu hizi na mambo ya msingi yanayogusu Taifa letu kama Watanzania na yatakayoacha shida kwa vizazi na vizazi...hata hao unaoamini wanaibiwa kura infuture wakishika dola watapambana na hizo athari..

Wakenya wanatumia akili kama hizi kuhakikisha hizo Mbuga zinakufa na biashara inabidi kwao, unafikiri hapa athari ni kwa hawa unao waita majizi tu?

Ukitaka hiyo image ya nchi ibaki heshimu uchaguzi, kinyume na hapo hayo unayotaka ni bure tu.
 
Ndio maana nimesema Serikali iache kuwachekea hao mbwa,iingize jeshi iwavunjilie mbali..Wametolewa Kenya wamekuja huku..

Vunja hao miguu wakiwa mizoga hawatarudia huo upuuzi waoufanya..
We chawa, hiki ulichokiandika hapa umekosa hekima,
Kuna siku kinaweza kukurudia wewe au familia yako,
Binadamu hawezi kuwa mbwa, hata akifa haitwi mzoga,
Acha kiburi cha uzima, maisha hubadilika,
 
Taarifa ya Aljazeera TV imeambatanishwa kuhusu Wakenya wa Nairobi kutetea Loliondo kuwa Wamasai wabaki, Wakenya wa Nairobi wamewekeza kitu gani huko Loliondo?

Loliondo ni Tanzania wao Wakenya wanahojiwa na Aljazeera kuhusu sheria za ardhi Tanzania na wanapotosha kwa lengo gani?

Propaganda zinafanywa na Kenya kwa kiasi kikubwa kuharibu jina la Tanzania kimataifa, Loliondo ipo Tanzania kwa nini Wakenya wapo mbele kuelezea mambo ya Loliondo yasiyowahusu huko Aljazeera TV

Je, Wakenya wana maslahi na Loliondo?

Je, yale makundi ya mifugo Loliondo ina milikiwa na matajiri wa Kenya wa Nairobi ambao ndio wanahojiwa Aljazeera TV?

Ni Hakika kuna Wakenya wengi huko Loliondo.

Inashangaza Wakenya wa Nairobi ndio wanahojiwa na Aljazeera TV huku wakielezea kwa uchungu kuwa lazima wamasai wabaki Loliondo.

Wakenya wanasema kuna majeruhi katika hospitali za jirani walioumizwa na polisi.

Kwa nini wahojiwe Wakenya wa Nairobi na sio Watanzania wa Loliondo, Loliondo Itakuwa imevamiwa na Wakenya.

Ni wakati wa Serikali kuwa makini na wafugaji na watu toka Kenya waliojazana huko Loliondo.

Video Nimeambatanisha

Una taarifa kuwa wanyama waliopo ktk mbuga zetu mf Nyumbu husafiri Kwa makundi wakiwa na mimba Kutoka Serengeti kwenda ktk mbuga za Kenya na kurudi tena baada ya kuzaa?

Hujui kuwa Masai wapo wa Kenya na WA TANZANIA.

Kenya ni wadau pia ktk hili la Utalii.

Hoja ni kwann Serikali itumie nguvu kupitiliza Kwa WAMASAI wanaomiliki ardhi kisheria na KESI ikiwa MAHAKAMANI? Ni utawala wa Sheria?

Hujui kuwa hiyo Roliondo mbuga inaendelea mpakani? Wanyama huenda huko na kurudi, Hujui kuwa Kenya Wana mbuga pia upande wa pili wa Arusha?

Wananchi wakidhurika mnawabadili uraia wanakuwa wakenya?
 
Kunyaland hawawezi kupiga mayowe kama maslahi yao hayajaguswa, kama wakenya wanatumia huo uwanda kunenepesha mifugo yao ni muda mwafaka hii janja yao ikafika mwisho.
 
Wanajua kutumia weakness katika uongozi wetu, usingewasikia wakati wa Magufuli.

Walikuja juu sana wakati wa Kikwete kwenye mradi wa barabara ya kutoka Arusha kwenda Musoma utadhani ilikuwa ndani ya mipaka yao. Yule jamaa marehemu alipoamua bomba la mafuta kutoka Uganda kwenda Tanga, hawafuruka kabisa japopokuwa lilikuwa linapita maeneo hayo hayo waliyopigia kelele wakati wa Kikwete.
Kuna Mkenya anashirikiana na wazungu uko Germany anaendesha kampeni dhidi ya Bomba la Mafuta, yuko na kidada kimoja kinaitwa Lasota kutoka Ukraine wanajiita wanaharakati wanapinga ujenzi wa Bomba la shell mpaka Tanga, wamemshawishi Macron ameshawishika na baadhi ya mabenki eti mradi utaaribu mazingira.

1655101853779.jpeg
 
Kama una ushahidi wa mamluki wa Loliondo toka Kenya peleka ushahidi wako polisi, lakini kama unahisi kaa kimya.

Wakenya wana haki ya kupinga ukatili wanaofanyiwa wamasai wa Loliondo na serikali ya Tanzania, kama ambavyo wapenda haki duniani kote wanaruhusiwa.

Wewe huna haki yoyote ya kuwafunga midomo wakenya. Hakuna propaganda inayofanywa na wakenya kuharibu jina la Tanzania.

Jina la Tanzania linaharibiwa na serikali yetu wenyewe kwa ukatili wake kwa wananchi wake, yeyote anayekemea ukatili huo hawezi kuwa anaharibu jina la Tanzania.

Serikali ya kidikteta iliyovitisha vyombo vya habari kuripoti juu ya ukatili wanaofanyiwa wamasai wa Loliondo inastahili kukemewa sio na wamasai wa Kenya pekee, bali toka pande zote za dunia.
Kuna Mtanzania mwenye lafudhi hii hapa kwenye video??
 
We chawa, hiki ulichokiandika hapa umekosa hekima,
Kuna siku kinaweza kukurudia wewe au familia yako,
Binadamu hawezi kuwa mbwa, hata akifa haitwi mzoga,
Acha kiburi cha uzima, maisha hubadilika,
Kinirudie mimi kwani nashindana na Serikali? Mimi ni mkunya wa ngorongoro?

Wafyekwe hadi adabu zije hakuna akucheka na ngedere
 
Ardhi yote ya Tanzania ni mali ya serikali ya Tanzania, watanzania wote hata wwnye hati miliki wanapangishwa ardhi na serikali, ndio maana kila mwaka tunalipa land rent serikalini.

Miradi mingi tu imepita maeneo ya watu, watu wanalipwa fidia na kuondoka, kama mradi hauhitaji fidia, watu wanaondoka tu.

Wamasai wasijidanganye ardhi hiyo ni yao, hawana umiliki wa hiyo ardhi, hivyo serikali kama imeona ardhi inafaa kwa jambo jingine inayouwezo wa kuwahamishia wamasai sehemu salama.
Well presented don-mike
 
Taarifa ya Aljazeera TV imeambatanishwa kuhusu Wakenya wa Nairobi kutetea Loliondo kuwa Wamasai wabaki, Wakenya wa Nairobi wamewekeza kitu gani huko Loliondo?

Loliondo ni Tanzania wao Wakenya wanahojiwa na Aljazeera kuhusu sheria za ardhi Tanzania na wanapotosha kwa lengo gani?

Propaganda zinafanywa na Kenya kwa kiasi kikubwa kuharibu jina la Tanzania kimataifa, Loliondo ipo Tanzania kwa nini Wakenya wapo mbele kuelezea mambo ya Loliondo yasiyowahusu huko Aljazeera TV

Je, Wakenya wana maslahi na Loliondo?

Je, yale makundi ya mifugo Loliondo ina milikiwa na matajiri wa Kenya wa Nairobi ambao ndio wanahojiwa Aljazeera TV?

Ni Hakika kuna Wakenya wengi huko Loliondo.

Inashangaza Wakenya wa Nairobi ndio wanahojiwa na Aljazeera TV huku wakielezea kwa uchungu kuwa lazima wamasai wabaki Loliondo.

Wakenya wanasema kuna majeruhi katika hospitali za jirani walioumizwa na polisi.

Kwa nini wahojiwe Wakenya wa Nairobi na sio Watanzania wa Loliondo, Loliondo Itakuwa imevamiwa na Wakenya.

Ni wakati wa Serikali kuwa makini na wafugaji na watu toka Kenya waliojazana huko Loliondo.

Video Nimeambatanisha

Hakuna nchi jirani isiyokuwa na maslahi na jirani yake. Watakuwa wajinga kama wewe wasipoona kuwa wana maslahi na Tanzania.
 
Wamasai ndio kabila linaongoza kwa kutowa rushwa Tanzania.

Mkulima hana haki mbele ya mmasai, waulizeni watu wa Morogoro hasa Kilosa ndio watawaambia Wamasai ni watu gani.
Mi nimeexprience hii kitu toka shambani kwa dada yangu, Mmasai aliingiza ng'ombe wakala mazao halafu akaenda kumhonga mwenyekiti na mtendaji, Hatukuangalia Mwenyekiti wala mtendaji Masai alilipa, alilipa na kukoma.
 
Mtanzania yupi atanyanyua mdomo abaki salama, kama aliyechukua video mnamsaka.. vipi atakayezungumza na vyombo habari..

Acha dunia iwasemee.
 
Ardhi yote ya Tanzania ni mali ya serikali ya Tanzania, watanzania wote hata wwnye hati miliki wanapangishwa ardhi na serikali, ndio maana kila mwaka tunalipa land rent serikalini.

Miradi mingi tu imepita maeneo ya watu, watu wanalipwa fidia na kuondoka, kama mradi hauhitaji fidia, watu wanaondoka tu.

Wamasai wasijidanganye ardhi hiyo ni yao, hawana umiliki wa hiyo ardhi, hivyo serikali kama imeona ardhi inafaa kwa jambo jingine inayouwezo wa kuwahamishia wamasai sehemu salama.
Uzuri ni kwamba wamasai ambao hawajaenda shule wanajua kinachoendelea kuliko wengi wenu humu. Wengi wenu hapa mnakurupuka sana. Yaani hamjui hata ni wapi wanatakuwa kuhama, hamjui NCA ni wapi wala Loliondo ni wapi? Hamjui tofauti ya Loliondo na NCA. Hamjui tofauti ya mgogoro wa Loliondo na mgogoro wa NCA.
Mnakurupuka tu.
 
Wakenya wanapenda wamasai waijaze ngorongoro ili ngorongoro ife, wanyama wakimbilie kwao. utalii utahamia kwao in the long run.
 
KAZI IPO


 
Nchi ina watu wajinga sana hii
Taarifa ya Aljazeera TV imeambatanishwa kuhusu Wakenya wa Nairobi kutetea Loliondo kuwa Wamasai wabaki, Wakenya wa Nairobi wamewekeza kitu gani huko Loliondo?

Loliondo ni Tanzania wao Wakenya wanahojiwa na Aljazeera kuhusu sheria za ardhi Tanzania na wanapotosha kwa lengo gani?

Propaganda zinafanywa na Kenya kwa kiasi kikubwa kuharibu jina la Tanzania kimataifa, Loliondo ipo Tanzania kwa nini Wakenya wapo mbele kuelezea mambo ya Loliondo yasiyowahusu huko Aljazeera TV

Je, Wakenya wana maslahi na Loliondo?

Je, yale makundi ya mifugo Loliondo ina milikiwa na matajiri wa Kenya wa Nairobi ambao ndio wanahojiwa Aljazeera TV?

Ni Hakika kuna Wakenya wengi huko Loliondo.

Inashangaza Wakenya wa Nairobi ndio wanahojiwa na Aljazeera TV huku wakielezea kwa uchungu kuwa lazima wamasai wabaki Loliondo.

Wakenya wanasema kuna majeruhi katika hospitali za jirani walioumizwa na polisi.

Kwa nini wahojiwe Wakenya wa Nairobi na sio Watanzania wa Loliondo, Loliondo Itakuwa imevamiwa na Wakenya.

Ni wakati wa Serikali kuwa makini na wafugaji na watu toka Kenya waliojazana huko Loliondo.

Video Nimeambatanisha
 
Back
Top Bottom