Inashangaza Kenya wanalalamika mambo ya Loliondo na wanahojiwa Aljazeera TV. Je, kuna mamluki Loliondo toka Kenya?

Inashangaza Kenya wanalalamika mambo ya Loliondo na wanahojiwa Aljazeera TV. Je, kuna mamluki Loliondo toka Kenya?

Taarifa ya Aljazeera TV imeambatanishwa kuhusu Wakenya wa Nairobi kutetea Loliondo kuwa Wamasai wabaki, Wakenya wa Nairobi wamewekeza kitu gani huko Loliondo?

Loliondo ni Tanzania wao Wakenya wanahojiwa na Aljazeera kuhusu sheria za ardhi Tanzania na wanapotosha kwa lengo gani?

Propaganda zinafanywa na Kenya kwa kiasi kikubwa kuharibu jina la Tanzania kimataifa, Loliondo ipo Tanzania kwa nini Wakenya wapo mbele kuelezea mambo ya Loliondo yasiyowahusu huko Aljazeera TV

Je, Wakenya wana maslahi na Loliondo?

Je, yale makundi ya mifugo Loliondo ina milikiwa na matajiri wa Kenya wa Nairobi ambao ndio wanahojiwa Aljazeera TV?

Ni Hakika kuna Wakenya wengi huko Loliondo.

Inashangaza Wakenya wa Nairobi ndio wanahojiwa na Aljazeera TV huku wakielezea kwa uchungu kuwa lazima wamasai wabaki Loliondo.

Wakenya wanasema kuna majeruhi katika hospitali za jirani walioumizwa na polisi.

Kwa nini wahojiwe Wakenya wa Nairobi na sio Watanzania wa Loliondo, Loliondo Itakuwa imevamiwa na Wakenya.

Ni wakati wa Serikali kuwa makini na wafugaji na watu toka Kenya waliojazana huko Loliondo.

Video Nimeambatanisha

Wakenya bado wanajua watanzania tunaendelea na ule usingizi wa mlima Kilimanjaro uko Kenya.Hii syo Tanzania ile tena...
 
Taarifa ya Aljazeera TV imeambatanishwa kuhusu Wakenya wa Nairobi kutetea Loliondo kuwa Wamasai wabaki, Wakenya wa Nairobi wamewekeza kitu gani huko Loliondo?

Loliondo ni Tanzania wao Wakenya wanahojiwa na Aljazeera kuhusu sheria za ardhi Tanzania na wanapotosha kwa lengo gani?

Propaganda zinafanywa na Kenya kwa kiasi kikubwa kuharibu jina la Tanzania kimataifa, Loliondo ipo Tanzania kwa nini Wakenya wapo mbele kuelezea mambo ya Loliondo yasiyowahusu huko Aljazeera TV

Je, Wakenya wana maslahi na Loliondo?

Je, yale makundi ya mifugo Loliondo ina milikiwa na matajiri wa Kenya wa Nairobi ambao ndio wanahojiwa Aljazeera TV?

Ni Hakika kuna Wakenya wengi huko Loliondo.

Inashangaza Wakenya wa Nairobi ndio wanahojiwa na Aljazeera TV huku wakielezea kwa uchungu kuwa lazima wamasai wabaki Loliondo.

Wakenya wanasema kuna majeruhi katika hospitali za jirani walioumizwa na polisi.

Kwa nini wahojiwe Wakenya wa Nairobi na sio Watanzania wa Loliondo, Loliondo Itakuwa imevamiwa na Wakenya.

Ni wakati wa Serikali kuwa makini na wafugaji na watu toka Kenya waliojazana huko Loliondo.

Video Nimeambatanisha

Ndio maana nimesema Serikali iache kuwachekea hao mbwa,iingize jeshi iwavunjilie mbali..Wametolewa Kenya wamekuja huku..

Vunja hao miguu wakiwa mizoga hawatarudia huo upuuzi waoufanya..
 
Taarifa ya Aljazeera TV imeambatanishwa kuhusu Wakenya wa Nairobi kutetea Loliondo kuwa Wamasai wabaki, Wakenya wa Nairobi wamewekeza kitu gani huko Loliondo?

Loliondo ni Tanzania wao Wakenya wanahojiwa na Aljazeera kuhusu sheria za ardhi Tanzania na wanapotosha kwa lengo gani?

Propaganda zinafanywa na Kenya kwa kiasi kikubwa kuharibu jina la Tanzania kimataifa, Loliondo ipo Tanzania kwa nini Wakenya wapo mbele kuelezea mambo ya Loliondo yasiyowahusu huko Aljazeera TV

Je, Wakenya wana maslahi na Loliondo?

Je, yale makundi ya mifugo Loliondo ina milikiwa na matajiri wa Kenya wa Nairobi ambao ndio wanahojiwa Aljazeera TV?

Ni Hakika kuna Wakenya wengi huko Loliondo.

Inashangaza Wakenya wa Nairobi ndio wanahojiwa na Aljazeera TV huku wakielezea kwa uchungu kuwa lazima wamasai wabaki Loliondo.

Wakenya wanasema kuna majeruhi katika hospitali za jirani walioumizwa na polisi.

Kwa nini wahojiwe Wakenya wa Nairobi na sio Watanzania wa Loliondo, Loliondo Itakuwa imevamiwa na Wakenya.

Ni wakati wa Serikali kuwa makini na wafugaji na watu toka Kenya waliojazana huko Loliondo.

Video Nimeambatanisha
Mkuu, endapo imetokea mke pale akiwa mjamzito kila siku akawa anamwambia mumewe kuwa anamckukia sana jirani yake mpika chipsi. Na mtoto alipozaliwa akatokea kufanana mno na jirani yake, basi hapo pasipo na shaka pana mgogoro wa kimaslahi.
 
Kama una ushahidi wa mamluki wa Loliondo toka Kenya peleka ushahidi wako polisi, lakini kama unahisi kaa kimya.

Wakenya wana haki ya kupinga ukatili wanaofanyiwa wamasai wa Loliondo na serikali ya Tanzania, kama ambavyo wapenda haki duniani kote wanaruhusiwa.

Wewe huna haki yoyote ya kuwafunga midomo wakenya. Hakuna propaganda inayofanywa na wakenya kuharibu jina la Tanzania.

Jina la Tanzania linaharibiwa na serikali yetu wenyewe kwa ukatili wake kwa wananchi wake, yeyote anayekemea ukatili huo hawezi kuwa anaharibu jina la Tanzania.

Serikali ya kidikteta iliyovitisha vyombo vya habari kuripoti juu ya ukatili wanaofanyiwa wamasai wa Loliondo inastahili kukemewa sio na wamasai wa Kenya pekee, bali toka pande zote za dunia.
Haki ipi ikiwa nyinyi wenyewe mna kiazi chenu upande wa Nkararo, pia huko mpaka wa Ethiopia na upande Kakuma..
 
Siri zao wanazijua wao.

Bottom Line, kwa sheria ya Tanzania, serikali inaweza mwamishwa mtu yoyote, mahali poppte, kwa manufaa ya taifa.
mkuu ni manufaa gani nchi inakosa kwa uwepo wa hao wamasai ngorongoro?
 
Taarifa ya Aljazeera TV imeambatanishwa kuhusu Wakenya wa Nairobi kutetea Loliondo kuwa Wamasai wabaki, Wakenya wa Nairobi wamewekeza kitu gani huko Loliondo?

Loliondo ni Tanzania wao Wakenya wanahojiwa na Aljazeera kuhusu sheria za ardhi Tanzania na wanapotosha kwa lengo gani?

Propaganda zinafanywa na Kenya kwa kiasi kikubwa kuharibu jina la Tanzania kimataifa, Loliondo ipo Tanzania kwa nini Wakenya wapo mbele kuelezea mambo ya Loliondo yasiyowahusu huko Aljazeera TV

Je, Wakenya wana maslahi na Loliondo?

Je, yale makundi ya mifugo Loliondo ina milikiwa na matajiri wa Kenya wa Nairobi ambao ndio wanahojiwa Aljazeera TV?

Ni Hakika kuna Wakenya wengi huko Loliondo.

Inashangaza Wakenya wa Nairobi ndio wanahojiwa na Aljazeera TV huku wakielezea kwa uchungu kuwa lazima wamasai wabaki Loliondo.

Wakenya wanasema kuna majeruhi katika hospitali za jirani walioumizwa na polisi.

Kwa nini wahojiwe Wakenya wa Nairobi na sio Watanzania wa Loliondo, Loliondo Itakuwa imevamiwa na Wakenya.

Ni wakati wa Serikali kuwa makini na wafugaji na watu toka Kenya waliojazana huko Loliondo.

Video Nimeambatanisha

Vyombo vya habari vina mbinu nyingi ya kupata habari wanayo itaka,hapa Nchini vyombo vingi vya habari vimebanwa,hivyo Aljazeera wakaamua kutumia mbinu kupata maoni.
Lakini pia Wananchi wa Kenya Wanayo haki ya kutoa maoni yao kuhusu Nchi Jirani Kama Vile na sisi tunavyojadili uchaguzi wa kwao..
Barabara ya Arusha Musoma inapita katikati ya Hifadhi ya Taifa Serengeti ndio maana wadau wa UHIFADHI walilalamikia Duniani pote,inavyoonekana hujui hata Jiografia ya Nchi yako..Bomba la Mafuta kutoka Uganda Hadi Tanga haipiti popote kwenye Hifadhi ya Taifa.
 
Ndio maana nimesema Serikali iache kuwachekea hao mbwa,iingize jeshi iwavunjilie mbali..Wametolewa Kenya wamekuja huku..

Vunja hao miguu wakiwa mizoga hawatarudia huo upuuzi waoufanya..
Wewe ni taahira

Hujui Chochote kuhusiana na jeshi la nchi yako.
 
Yani hakuna kabila lilipewa upendeleo kama wamasai nchi hii, wamekaribishwa karibu kila mkoa na kutengewa maeneo ya kulishia mifugo yao, ila kutwa kucha wao ni ugomvi na wakulima, kulisha kwenye mashamba ya watu wao kwao ni sawa.

Hakuna mtu aliyejuu ya sheria.
Hawa ni kuwapiga marufuku tu tz, ni wasumbufu sana hapa nchini.
 
Yani hakuna kabila lilipewa upendeleo kama wamasai nchi hii, wamekaribishwa karibu kila mkoa na kutengewa maeneo ya kulishia mifugo yao, ila kutwa kucha wao ni ugomvi na wakulima, kulisha kwenye mashamba ya watu wao kwao ni sawa.

Hakuna mtu aliyejuu ya sheria.
Wamasai ndio kabila linaongoza kwa kutowa rushwa Tanzania.

Mkulima hana haki mbele ya mmasai, waulizeni watu wa Morogoro hasa Kilosa ndio watawaambia Wamasai ni watu gani.
 
Taarifa ya Aljazeera TV imeambatanishwa kuhusu Wakenya wa Nairobi kutetea Loliondo kuwa Wamasai wabaki, Wakenya wa Nairobi wamewekeza kitu gani huko Loliondo?

Loliondo ni Tanzania wao Wakenya wanahojiwa na Aljazeera kuhusu sheria za ardhi Tanzania na wanapotosha kwa lengo gani?

Propaganda zinafanywa na Kenya kwa kiasi kikubwa kuharibu jina la Tanzania kimataifa, Loliondo ipo Tanzania kwa nini Wakenya wapo mbele kuelezea mambo ya Loliondo yasiyowahusu huko Aljazeera TV

Je, Wakenya wana maslahi na Loliondo?

Je, yale makundi ya mifugo Loliondo ina milikiwa na matajiri wa Kenya wa Nairobi ambao ndio wanahojiwa Aljazeera TV?

Ni Hakika kuna Wakenya wengi huko Loliondo.

Inashangaza Wakenya wa Nairobi ndio wanahojiwa na Aljazeera TV huku wakielezea kwa uchungu kuwa lazima wamasai wabaki Loliondo.

Wakenya wanasema kuna majeruhi katika hospitali za jirani walioumizwa na polisi.

Kwa nini wahojiwe Wakenya wa Nairobi na sio Watanzania wa Loliondo, Loliondo Itakuwa imevamiwa na Wakenya.

Ni wakati wa Serikali kuwa makini na wafugaji na watu toka Kenya waliojazana huko Loliondo.

Video Nimeambatanisha

Kiongozi wa nyumba akiwa goigoi, hata majirani zake humsonta kidole. Kwani sterling anajali?.
 
Wamasai ndio kabila linaongoza kwa kutowa rushwa Tanzania.

Mkulima hana haki mbele ya mmasai, waulizeni watu wa Morogoro hasa Kilosa ndio watawaambia Wamasai ni watu gani.
Hao mbwa ni kuwaangalia sana, natamani waondolewe kabisa tz watu wa hovyo sana.
 
Wanajua kutumia weakness katika uongozi wetu, usingewasikia wakati wa Magufuli.

Walikuja juu sana wakati wa Kikwete kwenye mradi wa barabara ya kutoka Arusha kwenda Musoma utadhani ilikuwa ndani ya mipaka yao. Yule jamaa marehemu alipoamua bomba la mafuta kutoka Uganda kwenda Tanga, hawafuruka kabisa japopokuwa lilikuwa linapita maeneo hayo hayo waliyopigia kelele wakati wa Kikwete.
Na sasa unakuta manguchiro kama Zitto zitto junior Tindo etc wanamponda JPM!!!
 
Taarifa ya Aljazeera TV imeambatanishwa kuhusu Wakenya wa Nairobi kutetea Loliondo kuwa Wamasai wabaki, Wakenya wa Nairobi wamewekeza kitu gani huko Loliondo?

Loliondo ni Tanzania wao Wakenya wanahojiwa na Aljazeera kuhusu sheria za ardhi Tanzania na wanapotosha kwa lengo gani?

Propaganda zinafanywa na Kenya kwa kiasi kikubwa kuharibu jina la Tanzania kimataifa, Loliondo ipo Tanzania kwa nini Wakenya wapo mbele kuelezea mambo ya Loliondo yasiyowahusu huko Aljazeera TV

Je, Wakenya wana maslahi na Loliondo?

Je, yale makundi ya mifugo Loliondo ina milikiwa na matajiri wa Kenya wa Nairobi ambao ndio wanahojiwa Aljazeera TV?

Ni Hakika kuna Wakenya wengi huko Loliondo.

Inashangaza Wakenya wa Nairobi ndio wanahojiwa na Aljazeera TV huku wakielezea kwa uchungu kuwa lazima wamasai wabaki Loliondo.

Wakenya wanasema kuna majeruhi katika hospitali za jirani walioumizwa na polisi.

Kwa nini wahojiwe Wakenya wa Nairobi na sio Watanzania wa Loliondo, Loliondo Itakuwa imevamiwa na Wakenya.

Ni wakati wa Serikali kuwa makini na wafugaji na watu toka Kenya waliojazana huko Loliondo.

Video Nimeambatanisha

Hivi wewe unaweza ukaiamini serikali ya ccm,iliyosema JPM yupo ofcn anachapa kazi,kumbe ameishakufa?
Swala la Loliondo halijaanza jana,Mwinyi alikodisha Hilo eneo miaka ya 90,na sasa hv serikali inafanya ujambazi wa kukodisha Eneo kwa wawindaji wa Kiarabu,Cha kujiuliza Hilo wanalolisema Kenya,linafanyika huko ngorongoro,au wamasai wa ngorongoro wanakula bata na maisha ni mazuri kama wanaishi masaki.
Sijawahi kuwaamini ccm,kama Kuna propaganda inaendelea huko ngorongoro,ilikuwaje askari mmoja akauliwa kwenye fujo
 
Wamasai ndio kabila linaongoza kwa kutowa rushwa Tanzania.

Mkulima hana haki mbele ya mmasai, waulizeni watu wa Morogoro hasa Kilosa ndio watawaambia Wamasai ni watu gani.
Nawajua vizuri sana, Ng'ombe wao ndo kinga yao.

Waliaminishwa kama wao ni special group, ndio maana kila sehemu wanaleta fujo, muda umefika wajihisi wao ni kama sisi tu, na sheria za nchi ziheshimiwe.
 
Back
Top Bottom