Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
Wewe uliona mvua mwaka huu kuwa nchi kama nchi tulivuna saana au ulikua ughaibuni. ? Mfumuko wa bei za vyakula umechangiwa na mavuno hafifu kutokana na ukame. Mwaka haukua na mavuno huu. Nenda kule jukwaa la kenye utaona bei ya sembe kenya uje ulinganishe na hapa bongo.