Inashangaza mkuu wa nchi kutaka wananchi wake wawe wanakula lishe bora wakati hawawezi kumudu bei za vyakula wasizoweza kuzimudu.

Wewe uliona mvua mwaka huu kuwa nchi kama nchi tulivuna saana au ulikua ughaibuni. ? Mfumuko wa bei za vyakula umechangiwa na mavuno hafifu kutokana na ukame. Mwaka haukua na mavuno huu. Nenda kule jukwaa la kenye utaona bei ya sembe kenya uje ulinganishe na hapa bongo.
 
mngetwambia kwanza vile viwqnda vya yule punguani vipo wapi
 
Hivi unataka chakula bora au chakula cha bei kubwa?Unataka ule mlo kamili au unataka ule mara nyingi kwa wingi?
 
Kwani wewe hujaona juhudi za serikali kupambana na mfumuko wa Bei? Hujaona serikali ikitoa mabillioni ya pesa katika juhudi za kukabiliana na mfumuko wa Bei?
Jamaa wa selikalini wajanja sana wanajifnya wanatoa hela afu iyo hela wanairudisha kwa njia ya tozo
 
Ukipata like 10 mi niite mbwa !! Nimekaa hapo nasubiri
 
Ukifikisha Like 20 !! Niite mbwa nakaa paleee nasubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…