Msichoke
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 569
- 400
Siku za hivi karibuni kumekuwa na mwamko kwa Watanzania kufuatilia ligi kuu ya hapa nyumbani, ujio wa Azam TV unawakusanya wapenda soka kwenye vibanda umiza hasa zinapocheza SIMBA au YANGA.
Maajabu makubwa ni pale unapomuona mtu kalipia pesa aangalie mpira kwenye TV lakini muda mwingi anautumia kuusikiliza kwenye radio.
Huwa najiuliza tatizo ni nini?
(a) Aamini anachokiona hivyo lazima asikilize na chombo kingine?
(b)Watangazaji wa TV hawana ladha?
(c)Mazoea ya mpira kusikiliza redioni tangu enzi?
Maajabu makubwa ni pale unapomuona mtu kalipia pesa aangalie mpira kwenye TV lakini muda mwingi anautumia kuusikiliza kwenye radio.
Huwa najiuliza tatizo ni nini?
(a) Aamini anachokiona hivyo lazima asikilize na chombo kingine?
(b)Watangazaji wa TV hawana ladha?
(c)Mazoea ya mpira kusikiliza redioni tangu enzi?