LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,483
Haiko hivyo ChiefHuyu ni dikteta, Watanzania wana haki ya kuomba ruhusa kwa waajiriwa wao ili wakagombee nafasi yoyote ile ya uongozi na kama watashindwa wanaruhusiwa kurudi kwenye ajira zao bila matatizo lakini kwa kuwa kuna dikteta magogoni basi ndiyo hivyo tena.
Unaruhusiwa kutia nia ya kugombea ukiwa mtumishi
Ukichaguliwa tu na chama chako unaacha utumishi
Ukipata ubunge unaenda ,ukiukosa na kazi ndo ushakosa hivoo u cant come back