INASIKITISHA: Makaburi Kinondoni yanavunjwa makusudi ili ipatikane nafasi ya kuzikia

Hamna kwenu? Mfano labda Mnasafirisha kuzika kijijini kwenye makaburi ya ukoo
 
Hamna kwenu? Mfano labda Mnasafirisha kuzika kijijini kwenye makaburi ya ukoo
Mi nshasema nikifa waniweke kwemye mkonge wa Serikali waingize wanangu wawili,baba na mdogo wangu wanipeleke kijijini kwetu..kama watashindwa kukodi gari!hapa mjini Mimi hapana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku sifa za mjini kuzikwa Kinondoni kiwanja cha kaburi milion kumi

Mkuu, hivi jeneza linachukua muda gani kuharibika kule chini ya kaburi?
Na mifupa inachukua muda gani kuharibika kabisa?




NB:
Aulizaye ataka kujua.
Kuuliza sio ujinga
 

Aisee ningekuwepo hapo now ningekuwa nina kesi ya kumpiga huyo sheikh wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…