Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
KWAKO CEO WA SIMBA IMAN KAJULA, Serikali kupitia Wizara ilitangaza kuvifungia viwanja vyake viwili kupisha matengenezo mnamo DESEMBA 22, 2023 na mpaka sasa yapata mwezi na siku kadhaa, ila hadi leo timu haijui itacheza wapi kifupi mpaka leo Simba haina kituo cha mechi, hii ina maana gani? Ni sahihi kuhoji utayari na uharaka wa kimaamuzi kwa ajili ya hii taasisi kubwa nchini?
Wapo Mashabiki wanasafiri na timu kila mahali, waandae nauli ya wapi?
[@jr_farhanjr ]
#FutbalPlanetUpdates
Ushauri: Simba nendeni tukuyu Kuna uwanja wa chuo Cha ualimu msasani...hata taifa stars ilikuwa Ina weka Kambi huko.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wapo Mashabiki wanasafiri na timu kila mahali, waandae nauli ya wapi?
[@jr_farhanjr ]
#FutbalPlanetUpdates
Ushauri: Simba nendeni tukuyu Kuna uwanja wa chuo Cha ualimu msasani...hata taifa stars ilikuwa Ina weka Kambi huko.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app