Inasikitisha, mrembo wa CHADEMA anasherekea siku ya kuzaliwa huku ana hofu ya kuuliwa na polisi

Inasikitisha, mrembo wa CHADEMA anasherekea siku ya kuzaliwa huku ana hofu ya kuuliwa na polisi

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Hivi ameolewa kwanza?

Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Njombe, Rose Mayemba ameandika kwenye ukurasa wake wa twitter kuhusu kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa

Alichoandika
Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu. Siku hii imenijia katika kipindi ambacho Rais kwa kutumia Jeshi la Polisi anapanga kuwaua wakosoaji wake kwa kuwabambikiza kesi ya UHAINI. Sijui nitakufa kifo hiki au kingine, lakini angalau ninajua siku moja nitakufa.TUSIOGOPE!.
Screenshot_20230815-124827.jpg
 
shida chadema hamjielewi mnadandiaga tu mada zinazo hit mtaani kichwa kichwa........mengine mitego
Hivi kweli na Hilo pua lako nene unaweza kwenda Yemen kwa uwekezaji,wayemen watakubali kufunga mkataba kwa Terms kama hizo za Dp et kwasababu tu unaitwa Abdullah Majununi?.
Tunajua hamna akili ila msitake chance kwa kigezo hicho.
 
Hivi kweli na Hilo pua lako nene unaweza kwenda Yemen kwa uwekezaji,wayemen watakubali kufunga mkataba kwa Terms kama hizo za Dp et kwasababu tu unaitwa Abdullah Majununi?.
Tunajua hamna akili ila msitake chance kwa kigezo hicho.
kuna jambo hamjaelewa...................acha tuishie hapo endelezeni yale matusi yenu kwa magufuli
 
Ndo maana Watanzania wameona bora wamsikilize Diamond kuliko h8vi vinyumbu; sometimes wana mambo ya kijingajingaa.

Mbowe nasikia ana biashara zake dubai
HUKU WENGINE WAMETUKANA MAMLAKA WAMEDAKWA YAANI HANA HATA HABARI NAO YUKO BIZE NA ZAKE TU SASA WASIO NA AKILI WAANDAMANE KUWATETEA WAVUNJWE MIGUU
 
Back
Top Bottom