HUTAKI SASA?Acha ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HUTAKI SASA?Acha ujinga
Mdini umefika wapi na udini wakoAende kutowa ripoti polisi.
Uzushi huu hauna sababuHivi ameolewa kwanza?View attachment 2717985
Unafikiri wewe ukifa Samia atalia?Samia akifa siwezi kulia
Duh.
🎼🔊 Nitamtupa Kagera kwao Prof.Tibaijuka, akaliwe...🎶Samia akifa siwezi kulia
Hbr yako Mzee wa DP world!! Piga uaaaa lazima DP tuwape bandari hata kama bila kikomo ili tuwakomoe "MACHADEMA"Na kenyewe kanajiita "kamanda"..usikute....😅 Ni mwendo wa kuposti picha tu ...ndo kanaita "harakati"😅😅
Ungejua influence ya social media usingeandika hivo! Hata hizo picha unazosema zina impact kubwaNa kenyewe kanajiita "kamanda"..usikute....[emoji28] Ni mwendo wa kuposti picha tu ...ndo kanaita "harakati"[emoji28][emoji28]
Unapendelea kitimoto rost au kavu?Aende kutowa ripoti polisi.
Sio kweliJamvi la wageni hilo, hadi yule mnuka mdomo mdude nyagali ashampitia.
Hii nini?Nini hii?
We bwege Samia anakujua?Unafikiri wewe ukifa Samia atalia?
Zinazo hiti mitaani si ndo hoja sasa?shida chadema hamjielewi mnadandiaga tu mada zinazo hit mtaani kichwa kichwa........mengine mitego
Kufa ni lazima kwa binaadam. Ikifika siku yake atakufa na wewe pia ikifika yako utakufa.Samia akifa siwezi kulia
Mrembo Jitahidi kuutumia Ulimi wako Vizuri kama Kushauri na kama Ushauri umeonwa kwa Wakati huo hautekelezeki unaweza enda Kupinga Mahakamani na ikishindikana Shitaki kwa Mungu aliyekuumba nina uhakika Mungu anajibu kwa Wakati.Hivi ameolewa kwanza?
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Njombe, Rose Mayemba ameandika kwenye ukurasa wake wa twitter kuhusu kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa
Alichoandika
View attachment 2717985Imeandikwa adhabu ya Dhambi ni Mauti licha ya Siyo kwamba wote wanakufa kuwa Wana dhambi. Jitahidi kutotenda dhambi Uishi. Hakuna Dhambi Mbaya kama ya Uhainiukitaka kujua Muulize Shetani alikuwaga anaitwa Rusfael maana ikiwa ni Malaika wa Sifa lakini baada ya kutaka kufanya uhaini aliyupwa Duniani na Sasa yupo Kuzima ambako niMakazi yake ya Kidumu.