mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Ndio Na Kaka Yao Ni John Bocco Adebayo.Huyo Dullayo ana undugu na Milardayo?
Maisha ni kuchagua.Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya aliyewahi kutamba na vibao vikali mwenye maskani yake Ukonga Majumba Sita amejiingiza katika ulevi wa kupindukia. Wengi wanadai ni stress baada ya kushindwa kwendana na kasi ya muziki. Nisiongee sana ila tizameni video hiyo...
View attachment 2224166
Ndio Na Kaka Yao Ni John Bocco Adebayo.
Mdogo wao yule ayo laizaNdio Na Kaka Yao Ni John Bocco Adebayo.
Ni wachaga hawa ukoo prof shayoMdogo wao yule ayo laiza
View attachment 2224534
View attachment 2224535
Bwana mdogo kaisha kabisa na muda wote yuko mitungi anahitaji msaada haraka sana, stress hupelekea mtu kua namna hiyo