INASIKITISHA: Msanii Dullayo awa mlevi kupindukia, atia huruma

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya aliyewahi kutamba na vibao vikali mwenye maskani yake Ukonga Majumba Sita amejiingiza katika ulevi wa kupindukia. Wengi wanadai ni stress baada ya kushindwa kwendana na kasi ya muziki. Nisiongee sana ila tizameni video hiyo...

Your browser is not able to display this video.
 
Maisha ni kuchagua.
Nakumbuka enzi hizo yuko kwa Mj Marko Chali anamgongea ngoma tulibang nazo sana nikiwa high school.
Wote na Joseline walikuwa wanapita mle mle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…