King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Twende maskani kitu cha mnyagi na ngoma dryyyyy Duuulaaaayoooo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu inaonekana anakunywa hadi gongo,mpaka midomo imechubuka
Dulayo ni mchaga?
Wa Nyumbani kumbe huyuAna asili ya kusini nadhani newala
Watu wanavuta Bangi na Hawakai Majumba 6, hayo ni mambo mtambuka mkuuUkae ukonga majumba sita usiwe mlevi au mvuta bangi, shetani lazima ashangae
Hapo wameshamloga aisee.Watanzania ni wachawi sana,***** zenu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] DadekiNdio Na Kaka Yao Ni John Bocco Adebayo.
SimjuiMsanii wa Muziki wa Kizazi kipya aliyewahi kutamba na vibao vikali mwenye maskani yake Ukonga Majumba Sita amejiingiza katika ulevi wa kupindukia. Wengi wanadai ni stress baada ya kushindwa kwendana na kasi ya muziki. Nisiongee sana ila tizameni video hiyo...
View attachment 2224166
Watakua washampasulia Yai huyuMaisha ni kuchagua.
Nakumbuka enzi hizo yuko kwa Mj Marko Chali anamgongea ngoma tulibang nazo sana nikiwa high school.
Wote na Joseline walikuwa wanapita mle mle
Kwenye video hii sijaona hicho kitu unachokiita"ulevi mbwa"Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya aliyewahi kutamba na vibao vikali mwenye maskani yake Ukonga Majumba Sita amejiingiza katika ulevi wa kupindukia. Wengi wanadai ni stress baada ya kushindwa kwendana na kasi ya muziki. Nisiongee sana ila tizameni video hiyo...
View attachment 2224166
Oya niko serious ..mbona unawashwa ....angalia usije ombwa ndogo
Ukoo wao ni wa kina shayooMdogo wao yule ayo laiza
Kuna interview nilimsikia anasema katoka Mtwara.Oya niko serious ..mbona unawashwa ....angalia usije ombwa ndogo