Dingi yao ni MabeyoNdio Na Kaka Yao Ni John Bocco Adebayo.
Wote ni wakalidayoNdio Na Kaka Yao Ni John Bocco Adebayo.
Utoke Ukonga afu uwe mwanamuziki
Anagongea double kick hapa java
Afu majumba sita hadi watoto anawaomba miamia
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Dulayo ni mchaga?Ni wachaga hawa ukoo prof shayo
Wanasema abonyeze *102#BASATA wanasemaje kwani
Ni Mfarisayo na baba yake ni Msadukayo.Dulayo ni mchaga?
Umemfananisha na Q jayAmeokoka
Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya aliyewahi kutamba na vibao vikali mwenye maskani yake Ukonga Majumba Sita amejiingiza katika ulevi wa kupindukia. Wengi wanadai ni stress baada ya kushindwa kwendana na kasi ya muziki. Nisiongee sana ila tizameni video hiyo...
View attachment 2224166