INASIKITISHA: Msanii Dullayo awa mlevi kupindukia, atia huruma

2020 nilimuona pale La Chaaz kalewa chakari asubuhi Yuko na Malaya anataka akajigongee kwa ustar Malaya kamsusa pale getini kasepa... Josline jamaa chini mwenyewe kalewa chakari. Malaya katoka nduki.

Malaya wa dar hawana adabu.
Kuna siku kaja fire pate kituoni kuna kibanda usiku wanauza pombe. Yuko bwax analeta story za kua yeye ni staa wahuni waka mkataa
 
HHi
Bila shaka kuna uwezekano na ngada akawa anatumia .
 
Duuuh kaisha mnooo, lol. [emoji25][emoji25][emoji25]
 
Hajawahi kuwa kwenye mainstream...
 
ameshindwa hata kulelewa na lianti Ezekiel aka limama huruma
 
Dullaaaaayo!! Nikivaa koti la siasa:SES-SOCIAL ECONOMIC STATUS' Halina shaka jawabu la ccm imeshindwa na itaendelea kufeli kuondoa umaskini TANZANIA(Tunaviongozi wajinga sana tena sana) Nikivaa koti la denial of death(fear of life and death),dullayo ni failed heroism.. Wachaa ni burudike na gangwe mob ft mr paul-tatizo noti....inspect haroun"tatizo hili la ajira /limefanya vijana tupatwe na utahira/ tunaishi kwa vibomu,vizinga /...TATIZO NOTI
 
Daah inasikitisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…