Inasikitisha Mtumishi wa Umma anafanyiwa Eviction kwa kushindwa kulipa Deni la kuuziwa Nyumba na TBA

Inasikitisha Mtumishi wa Umma anafanyiwa Eviction kwa kushindwa kulipa Deni la kuuziwa Nyumba na TBA

Waatumishi wa umma ujanja wao ni kula rushwa na kupiga madili kazini ila kwenye mambo mengine hawana akili kabisa. Mtu unakopesheka hadi 50m kwanini usijenge nyumba yako badala ya kwenda kununua nyumba za TBA?
 
Inasikitisha kuona Serikali inafukuza Watumishi wake waliowakopesha Nyumba Kwa Nguvu Kwa kushindwa kulipa deni lote ndani ya Mikataba wa Miaka 3-7. Imagine ameuziwa Nyumba Semi finished, aifanyie finishing ya zaidi ya Million 50, Hapo analipa deni Kila Mwezi. Bado anajitunza yeye na Family.

Mshahara take home Laki 6 Kwa Mwezi. Huyu Mtu ataishije? Mikataba mingine waliingia bila kujua uzito wa kazi ya Nyumba walizonunua zikiwa "Semi finished" wakikimbia Kodi Uswahilini na adha ya Wenye Nyumba.

Watumishi hawa wamejikuta Wana mizigo mikubwa ya KuService deni la Nyumba la kufanyia Nyumba finishing ili iweze kukalika mikataba ukaisha deni bado kulipika. Wamejaribu kujieleza kuomba mikataba mingine TBA imekataa Kwa kupewa Nguvu na Waziri wa Ujenzi wafukuzwe.

Hivi mpaka itokee Aibu ya kufukuza Watumishi Kwa kushindwa kulipa ndani ya Mikataba Kwa nini Serikali isiwasikilize Watumishi hawa? Ni Huzuni Sana kumfanyia Mtumishi au Mstaafu aliepewa mafao ya Kikokotoo unyama huu. Serikali ni Sikivu iwasikilize Wadaiwa wake Kwa kuwa hakuna aliyefanya makusudi kutomaliza Deni.
Swali la kujiuliza: Je,hao watumishi walilazimishwa?
 
Anaenunua nyumba TBA, anae nunua nyumba NSSF, NHC au Watumishi housing. Ni wa kumpepea, akili hana kabisa.
 
Inasikitisha kuona Serikali inafukuza Watumishi wake waliowakopesha Nyumba Kwa Nguvu Kwa kushindwa kulipa deni lote ndani ya Mikataba wa Miaka 3-7. Imagine ameuziwa Nyumba Semi finished, aifanyie finishing ya zaidi ya Million 50, Hapo analipa deni Kila Mwezi. Bado anajitunza yeye na Family.

Mshahara take home Laki 6 Kwa Mwezi. Huyu Mtu ataishije? Mikataba mingine waliingia bila kujua uzito wa kazi ya Nyumba walizonunua zikiwa "Semi finished" wakikimbia Kodi Uswahilini na adha ya Wenye Nyumba.

Watumishi hawa wamejikuta Wana mizigo mikubwa ya KuService deni la Nyumba la kufanyia Nyumba finishing ili iweze kukalika mikataba ukaisha deni bado kulipika. Wamejaribu kujieleza kuomba mikataba mingine TBA imekataa Kwa kupewa Nguvu na Waziri wa Ujenzi wafukuzwe.

Hivi mpaka itokee Aibu ya kufukuza Watumishi Kwa kushindwa kulipa ndani ya Mikataba Kwa nini Serikali isiwasikilize Watumishi hawa? Ni Huzuni Sana kumfanyia Mtumishi au Mstaafu aliepewa mafao ya Kikokotoo unyama huu. Serikali ni Sikivu iwasikilize Wadaiwa wake Kwa kuwa hakuna aliyefanya makusudi kutomaliza Deni.
Serikali iwaonee huruma. Lakini na wao wanakaujinga fulani hivi.

Hao walikosa kuwa na kipaumbele. Walitakiwa, waache kufanya finishing kwanza na walipe deni baada ya kumaliza ndio waendelee na finishing.

Naona wao walikuwa wanajisemea tu, serikali haiwezi kutufukuza.

Kama nyumba zilikuwa semi finished ina maana zilikuwa zinakalika. Ilikuwa ni kuvuta umeme + maji na kiendelea kuishi huku wakilipa deni la Watu, yaani Watanzania.

Wao walianzaje kufanya finishing ya mamilioni ya pesa wakijua wanadiwa?
 
Bila Matusi unaweza Kuchangia hoja. Hakuna asiyetaka kulipa. Ila Mikataba imeisha wakiwa hawajamaliza Deni. Ukae Nyumba usilipe no, tatizo Finishing na Deni na salio la Mshahara halitoshi. Muda ukiongezwa Wanalipa. Hata hivyo zikilipwa haziendi Mfukoni kwako wewe unayedhihaki wenzio.
Hawa vijana wajinga achana nao.
 
Eti "serikali sikivu" umerogwa wewe, hakuna cha usikivu, watakusaidia ama kukusaidieni haswa wakiona ina kiki kwa maslahi yao ya kisiasa.
 
Kwa kawaida unapokopa nyumba unaonyesha mapato yako na unaelezea jinsi utakavyolipa kwa awamu ( mara nyingi kila mwezi) ili umalize deni lako. Unakubaliwa kukopeshwa pale inapoonekana kuwa kipato chako kinatosha wewe kulipa kwa awamu. Tatizo la wengi ni kuwa wakishalipa tu awamu chache za mwanzo wanaacha kulipa. Na hata wakikumbushwa hawalipi. Utamuongezeaje mtu muda ambae hata robo ya deni lake hajalipa? Badala ya kulalamika angesema aliuziwa kwa kiasi gani na alikuwa anadaiwa kiasi gani.

Watanzania wengi wanahamia kwenye nyumba ambazo zina milango ya nje tu na nondo kwenye madirisha. Choo cha shimo nje, maji ya kununua na taa ni za chemli. Inawachukua muda lakini wanamaliza. Huyu halipi deni anakimbilia finishes za bei mbaya ( hata hii sidhani kama amefanya).

Kama kweli anaitaka nyumba akope sehemu nyingine amalizane na TBA, ama sivyo TBA wataiuza, watakata wanachodai pamoja na gharama za kumtoa na zilizobaki watamrudishia.

Amandla...
 
Inasikitisha kuona Serikali inafukuza Watumishi wake waliowakopesha Nyumba Kwa Nguvu Kwa kushindwa kulipa deni lote ndani ya Mikataba wa Miaka 3-7. Imagine ameuziwa Nyumba Semi finished, aifanyie finishing ya zaidi ya Million 50, Hapo analipa deni Kila Mwezi. Bado anajitunza yeye na Family.

Mshahara take home Laki 6 Kwa Mwezi. Huyu Mtu ataishije? Mikataba mingine waliingia bila kujua uzito wa kazi ya Nyumba walizonunua zikiwa "Semi finished" wakikimbia Kodi Uswahilini na adha ya Wenye Nyumba.

Watumishi hawa wamejikuta Wana mizigo mikubwa ya KuService deni la Nyumba la kufanyia Nyumba finishing ili iweze kukalika mikataba ukaisha deni bado kulipika. Wamejaribu kujieleza kuomba mikataba mingine TBA imekataa Kwa kupewa Nguvu na Waziri wa Ujenzi wafukuzwe.

Hivi mpaka itokee Aibu ya kufukuza Watumishi Kwa kushindwa kulipa ndani ya Mikataba Kwa nini Serikali isiwasikilize Watumishi hawa? Ni Huzuni Sana kumfanyia Mtumishi au Mstaafu aliepewa mafao ya Kikokotoo unyama huu. Serikali ni Sikivu iwasikilize Wadaiwa wake Kwa kuwa hakuna aliyefanya makusudi kutomaliza Deni.
Wao si wanavaaga ma tshirt yenye picha ya Mama na kusema anatosha na atawatosha kisawasawa
 
Bila Matusi unaweza Kuchangia hoja. Hakuna asiyetaka kulipa. Ila Mikataba imeisha wakiwa hawajamaliza Deni. Ukae Nyumba usilipe no, tatizo Finishing na Deni na salio la Mshahara halitoshi. Muda ukiongezwa Wanalipa. Hata hivyo zikilipwa haziendi Mfukoni kwako wewe unayedhihaki wenzio.
Kutukanwa nayo ni ajabu?

Tatizo ulisaini mmekubaliana terms and conditions

Shida inakuja wewe kutokutimiza your end of the bargain

Unakuja na visababu vya your own failure eti uachiwe....who the fvck will pay?

Eti Finishing,thats your preferences not the seller

Nakudhihaki sana unaleta upumbavu wa kutaka kurusha watu hela yao upewe nyumba bure....Hiyo nyumba ilitoka hewani?

TBA nao walikopa benki,wanadaiwa interests za ajabu halafu unakuja kuleta upumbavu eti usamehewe,hivi are you insane?

Agian,kama thinking yako ni ya namna hii kuomba nyumba za bure,nakutukana kwa mara ya pili!
 
Kuna watumishi wengine wanakaa nyumba chakavu na vidogo za serikali na hawalipi pia, ila wana apartments wamepangisha.
Sijui hawa tunawaweka kundi gani?
 
Kutukanwa nayo ni ajabu?

Tatizo ulisaini mmekubaliana terms and conditions

Shida inakuja wewe kutokutimiza your end of the bargain

Unakuja na visababu vya your own failure eti uachiwe....who the fvck will pay?

Eti Finishing,thats your preferences not the seller

Nakudhihaki sana unaleta upumbavu wa kutaka kurusha watu hela yao upewe nyumba bure....Hiyo nyumba ilitoka hewani?

TBA nao walikopa benki,wanadaiwa interests za ajabu halafu unakuja kuleta upumbavu eti usamehewe,hivi are you insane?

Agian,kama thinking yako ni ya namna hii kuomba nyumba za bure,nakutukana kwa mara ya pili!
Sawa wakilipa zitaenda Mfukoni kwako. Na TBA ni taasisi ya Ukoo wako. Hayo yatapita na wewe Hapo TBA unapita tuuu. Usifanye Misiba ya Wenzako Kicheko na dhihaka zako. Be nice to people because you don't know the battle they are Fighting. Matusi yatakurudia one day
 
Back
Top Bottom