mwakatojofu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2008
- 326
- 227
Mshahara wake si bado upo. Si waongee wayajenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapenda kuishi kotaz kwani wewe unasemajeWaatumishi wa umma ujanja wao ni kula rushwa na kupiga madili kazini ila kwenye mambo mengine hawana akili kabisa. Mtu unakopesheka hadi 50m kwanini usijenge nyumba yako badala ya kwenda kununua nyumba za TBA?
50M si ungejenga nyumba nyingine of your own designImagine ameuziwa Nyumba Semi finished, aifanyie finishing ya zaidi ya Million 50
Kwa nini mfanyakazi amekwenda kujitwisha mzigo asiyouweza?Watumishi hawa wamejikuta Wana mizigo mikubwa ya KuService deni la Nyumba la kufanyia Nyumba finishing ili iweze kukalika mikataba ukaisha deni bado kulipika. Wamejaribu kujieleza kuomba mikataba mingine TBA imekataa Kwa kupewa Nguvu na Waziri wa Ujenzi wafukuzwe.
Hivi mpaka itokee Aibu ya kufukuza Watumishi Kwa kushindwa kulipa ndani ya Mikataba Kwa nini Serikali isiwasikilize Watumishi hawa? Ni Huzuni Sana kumfanyia Mtumishi au Mstaafu aliepewa mafao ya Kikokotoo unyama huu. Serikali ni Sikivu iwasikilize Wadaiwa wake Kwa kuwa hakuna aliyefanya makusudi kutomaliza Deni.
Hakuna polisi aliyekopa nyumba kiongozi,hawana vigezo hivyo mishahara yao ni laki na nusu.Kama ni Polisi, siwezi kusikitika hata kidogo labda awe mtumishi wa kada tofauti.
Nimeshangaa sana. Watumishi wa umma wana secure income. Walichotakiwa kukifanya ni kuongeza muda wa malipo. Kama wanavyofanya kwa wenzetu wangeweza kuongeza muda wa kulipa mkopo ( mortgage) uwe miaka 5, 10,15, 20,25. Muhimu kampuni zilizojengaKitu ambacho nimejifunza sector ya nyumba ni muhimu sana kama driving force ya uchumi.
Ukienda nchi za wenzetu (private debt) 90% ni mortgages. Sisi kwetu private debt sehemu kubwa ni mikopo ya wafanyakazi (consumption loan).
Very bad how kuekezea hadithi yake kwanini ‘vice versa’ ya consumer loans kuwa kubwa kushinda secured loans ni hadithi ndefu.
Fanya research yako ya private debt duniani uwezi kukuta ‘consumer loan’ ni kubwa kushinda secured loan.
Kuelezea sasa mpaka haya mapoyoyo ya serikali ya elewe ndio mtihani; Lakini sasa kuna watanzania wakurugenzi wa bank na financiers.
Unaweza wale walio kwenye banks kutojali hiyo tofauti mradi kwao kuna faida ya consumer loan (maana it’s very much secure) kwakuwa serikali inatoa guarantee ya mishahara ya wafanyakazi.
Why would they want to risk in actual secure loans for cheap at 5% interest, jumlisha na akili za TBA na NHC kwenye kupambana wananchi wamiliki nyumba.
Tanzania inaongozwa na watu wajinga sana wasio na uwezo.
Mtu pekee mwenye akili ni Dorothy Gwajima tu.
Dc mbona yuko poa tu kosa lake ni lipi? Kakwambia ile kazi inafanywa nchi nzima.Kama ni mwalimu au nesi itaniuma sana , lakini kama ni yule DC alietenguliwa wa longido wala siwezi kusikitika
Na uzinzi...na mambo ya porini tuWaatumishi wa umma ujanja wao ni kula rushwa na kupiga madili kazini ila kwenye mambo mengine hawana akili kabisa. Mtu unakopesheka hadi 50m kwanini usijenge nyumba yako badala ya kwenda kununua nyumba za TBA?
Kupenda mteremkoHivi kuna haja gani ya kukopa nyumba halafu bado unaifanyia service ya zaidi ya 50+m!!
Wanataka "extension" na yeye TBA benki ampe "extension" kwa interest atakayolipa nani?Hakuna hata mmoja aliyekataa kulipa elewa hivyo. Walitaka Extension ya Mkataba waweze kumaliza Deni. Usitukane Watu hautapata Chochote kama Zawadi ya Matusi.
Kama kipato chako si kikubwa kwa nn uingie huo mkopo?Hiki ni cha Serikali. Watumishi ni wa Serikali. Vipato vya Watumishi wao wanavijua. Unamfukuzaje badala ya kumsikiliza?? Serikali Sikivu ni ipi ikiwa hata kuongeza Mkataba hawasililizi? Unamfukuzaje Mtu ilihali ana nia ya kulipa? Haya yalitokea Ubungo Plaza Blue Pearl 2016 Hadi Leo jengo halina matumizi na Kodi hailipwi.
Hajakopa 50 milioni. Anadai ametumia 50 milioni kumalizia nyumba! Hapo ndio naona anatupiga mchanga wa uso maana hizo pesa bila shaka zingetosha kulipia deni.Moja wapo ya mifano mingi katika nchi hii kufanyika bila uhalisia. Mkopo nyumba 50m mshahara laki 6-8, bado mtu hajaishi na familia, katika uhalisia ni kitu ambacho hakipo. Hiyo ela ya marejesho/makato si mtu angejenga kibanda chake, na una kuta mtumishi akishindwa kumalizia mkopo marejesho yake yanachukuliwa kirahisi tu, yaani huu ni wizi/ujambazi mchana kweupe