Inasikitisha na kuhuzunisha sana jinsi 'plants' za madini zinavyohatarisha maisha ya watu

Wakemia wapo, ila wenye plants zao hukwepa kuwatumia kutokana na gharama zao kwa sababu wana uelewa mpana wa madhara ya hizo kemikali.
 
Mkuu ulivuta hewa ya cyanide yenyewe kabisa au ni kemikali nyingine???
 
Wakemia wapo, ila wenye plants zao hukwepa kuwatumia kutokana na gharama zao kwa sababu wana uelewa mpana wa madhara ya hizo kemikali.
Na hilo ndo tatzo kubwa ila hii ni industry ambayo inatoa pesa nying tu sema vitu vingi vinafanyika kihuni tu na pia rushwa sana ila chemicala zote zina madhara makubwa sana
 
Na hilo ndo tatzo kubwa ila hii ni industry ambayo inatoa pesa nying tu sema vitu vingi vinafanyika kihuni tu na pia rushwa sana ila chemicala zote zina madhara makubwa sana
Isitoshe hili suala linaweza kumalizwa hata na mkuu wa wilaya tu,sijui wanafeli wapi,wakati vijana nguvu kazi ya taifa inapotea kizembe kabisa!!!
 
Kwamba kazi ya maroboti[emoji23][emoji23], ndiyo kazi za wakemia hizo, ndiyo maana ukikutana na mkemia ambaye ashafanya kazi maabara sana anakuwa kama amechanganyikiwa.
 
Kwamba kazi ya maroboti[emoji23][emoji23], ndiyo kazi za wakemia hizo, ndiyo maana ukikutana na mkemia ambaye ashafanya kazi maabara sana anakuwa kama amechanganyikiwa.
Hapo nimezungumzia kule kwenye kuopoa yale mamichanga kwenye zile tanks, juzi hapo kuna dogo kafariki alikua anaopoa carbon
 
Isitoshe hili suala linaweza kumalizwa hata na mkuu wa wilaya tu,sijui wanafeli wapi,wakati vijana nguvu kazi ya taifa inapotea kizembe kabisa!!!
Tanzania kweny industry ya mining hasa hawa wachimbaji wadogo na wachimbaji wa kati kuna changamoto sana, hizi plant zinaingiza hela sana ila ni kama serikali huwa inawapenda sana pale wanapokuja kukusanya kodi tu
 
Umenena vyema
 
Na hilo ndo tatzo kubwa ila hii ni industry ambayo inatoa pesa nying tu sema vitu vingi vinafanyika kihuni tu na pia rushwa sana ila chemicala zote zina madhara makubwa sana
Wanavuna pesa nyingi sana, ndiyo maana wanatoa rushwa sana, pesa ipo.
 
Serikali ilaumiwe kwa kushindwa ku control cyanide. Ilitakiwa cynide isiuzwe hovyo iuzwe kwa wataalamu wenye vibali tu na akikutwa mtu anayo na hana permit ni jela. Tungeanzia hapo kwanza.
 
Isitoshe hili suala linaweza kumalizwa hata na mkuu wa wilaya tu,sijui wanafeli wapi,wakati vijana nguvu kazi ya taifa inapotea kizembe kabisa!!!
Wakuu wa wilaya wanawekwa mfukoni na hao wenye plants, kuna wilaya moja mwenye plants alikuwa amewaweka mfukoni mkuu wa Wilaya na mkurugenzi wote na amewazawadia hadi gari kila mmoja, JPM alipotembelea hiyo wilaya akampiga stop yule jamaa, na akamwambia mkuu wa wilaya hiyo warudishe gari walizopewa na huyo jamaa. Kwahiyo mambo sio mepesi.
 
Kumbe ndivyo hali ilivyo huko kwenye uchimbaji, duh Hii ni zaidi ya kubebeshwa unga (a.k.a kuwa punda) hali mbaya sana kwa vijana wenzetu as3
 
Hizo kemilaki zimegarimu sana maisha ya wengi hasa wasionufaika na madini kabisa...hasa watumiaji wa maji ya mito na mifugo
 
Jamaa akawaziba midomo kwa kuwapa magari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Jpm alikuwa mbabe sana,apumzike salama mwamba!!!!
 
Tatizo shule. Mtu anaweza akasema eti uzoefu. Anayefanya kwa uzoefu na aliyepita shule ni vitu tofauti kabisa. Huyu wa mtaani anajua kuwa unachanganya cyanide. Lakini uliepita shule unafahamu kuwa unachanganya cyanide kutengeneza complex compounds, unakuwa unajua kinachofanyika. Unajua chemical reaction zinazofanyika. Unafahamu kuwa cyanide ni moja ya sumu hatari duniani. Ukijua hayo huwezi handle hizo kemikali kizembe, ni kama mabomu.

Sasa mtu anayefanyia uzoefu anafanya tu, yupo peku, hana googles nk. Hata principle rahisi za usimiminie asidi kwenye maji haifahamu. Ajali kila leo.

Japo watu wanatafuta pesa lakini serikali inabidi kuweka uthibiti mkali kwenye afya ya watu na mazingira. Afadhali ziwa victoria linatoa maji, maziwa yasiyotoa maji kama ziwa Rukwa miaka ijayo yatakuwa sumu tupu.
 
sio kila biashara lazima ifanywe na kila mtu, hapa ndio utaelewa kwanini lazima vitu fulani fulani lazima vifanywe na magiants......sisi pangu pakavu na mitaji yetu tutafuta vinavyofanana na mitaji yetu ili tufanye kwa ufanisi...
 
Jamaa akawaziba midomo kwa kuwapa magari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Jpm alikuwa mbabe sana,apumzike salama mwamba!!!!
Na ulikuwa mkutano wa adhara, JPM akamsimamisha mbele ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…