Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.

Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.

Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.

Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.

Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.

Tumekuwa Taifa la Wajinga na Ujinga
FB_IMG_1740817978578.jpg
FB_IMG_1740817958793.jpg
FB_IMG_1740817920063.jpg
FB_IMG_1740817908902.jpg
FB_IMG_1740817561988.jpg
FB_IMG_1740817553556.jpg
FB_IMG_1740817796020.jpg
FB_IMG_1740817884059.jpg
FB_IMG_1740817782269.jpg
FB_IMG_1740817930675.jpg
FB_IMG_1740817943791.jpg
 
Ni haki ya watanzania kupenda viongozi wao, na taifa lao, Katiba ina uhuru wa maoni, huna haki kuingilia haki yao ya maoni. Sawa na wewe ulivyo na mahaba na chechemela
 
Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.

Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kura.

Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine.

Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.

Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Muislamu hatakiwi kupewa uongozi kwenye hii nchi ndiyo wanao ikwamisha nchi yetu kwenye umaskini wakimsingizia nyerere ....
 
Kwa hiyo watu wasimsikilizw kiongozi wa nchi , demokrasia si mlitaka wenyewe...Kaeni mpaka muda wenu ukifika.
Watendaji wa Serikali kumsikiliza kiongozi ndo wavae kofia zenye jina lake? Ndo wavae T shirt zenye picha yake?

Kwa nini mapenzi kwa kiongozi badala Taifa? Tumekuwa nchi ya namna gani sisi?
 
Watendaji wa Serikali kumsikiliza kiongozi ndo wavae kofia zenye jina lake? Ndo wavae T shirt zenye picha yake?

Kwa nini mapenzi kwa kiongozi badala Taifa? Tumekuwa nchi ya namna gani sisi?
Una uelewa wa kiasi gani? Watendaji wa serikali karibia wote wako chini ya Rais ..Hapo wameitika wito wa Rais ,unajua kilichokuwa kinaongelewa hapo .

Huyo ni Rais wa sasa haijalishi unamkubali au laah ,nenda kamsikilize.
 
Ni haki ya watanzania kupenda viongozi wao, na taifa lao, Katiba ina uhuru wa maoni, huna haki kuingilia haki yao ya maoni. Sawa na wewe ulivyo na mahaba na chechemela
Hiyo sio haki ni ujinga. Watu wanalalamika hawana ajira. Hamuajiri kwa kisingizio cha bajeti haitoshi sasa kwa nini mnaenda kutumia mamilioni kama sio billions ku print t-shirt zenye picha ya mtu na kofia zake ili kumuabudu?

Mnamuabudu mtu ili iweje? kama mapenzi yalipaswa kuelekezwa kwa mtu au nchi?

Ni heri Mataga walikuwa wanasambaza slogan inayojenga utaifa na uzalendo kuliko ujinga na upuuzi mnaoufanya sasa!
 
Una uelewa wa kiasi gani? Watendaji wa serikali karibia wote wako chini ya Rais ..Hapo wameitika wito wa Rais ,unajua kilichokuwa kinaongelewa hapo .

Huyo ni Rais wa sasa haijalishi unamkubali au laah ,nenda kamsikilize.
Kama ni Rais ndo wavae t-shirt zenye sura yake? Ndo wavae t-shirt zenye jina lake?

Kwa hiyo ni Tanzania tu ndo tuna Rais au Kiongozi nchi zingine hawana? Mbona kwenye mataifa mengine ya watu wenye akili hawafanyi huo upuuzi wenu?
 
Back
Top Bottom