Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Kwa hiyo mnataka izo t-shirt zenu na kofia zenye majina yake na picha zake muwavalishe hadi Wanajeshi?

Wavalisheni tu maana nao wameshakosa akili ndo mana wanatepeshwa na vijana wadogo wa Kagame huko Goma.
Acha kujitia ujinga ..

Huyo ni rais wa nchi .... wanajeshi wanamtii sana. ..nao ni wananchi....sasa unashangaa nn kwa raia kumtii rais wao ?!!

Acheni uliberali koko,...
 
Ni haki ya watanzania kupenda viongozi wao, na taifa lao, Katiba ina uhuru wa maoni, huna haki kuingilia haki yao ya maoni. Sawa na wewe ulivyo na mahaba na chechemela
Cheki huu UROJOWANJANO
 
Kwa hiyo mnataka izo t-shirt zenu na kofia zenye majina yake na picha zake muwavalishe hadi Wanajeshi?

Wavalisheni tu maana nao wameshakosa akili ndo mana wanatepeshwa na vijana wadogo wa Kagame huko Goma.
JWTZ haikwenda GOMA kupigana....

Halafu hata kama ingekuwa wanapigana katika ardhi ya kigeni ,vita vya kuvizia "gorilla" si rahisi kwa jeshi lolote lile duniani....na askari wa JWTZ ni binadamu kama ulivyo ubinadamu wa askari wa majeshi bora duniani.....

Rais ni NEMBO ya taifa....rais ni TUNU ya taifa....anatakiwa ATIIWE na kila aliye raia na mwananchi wa nchi hii ili baraka za Mwenyezi Mungu ziendelee kulifunika anga letu.....

#Samia ni TUNU yetu watanzania !
 
JWTZ haikwenda GOMA kupigana....

Halafu hata kama ingekuwa wanapigana katika ardhi ya kigeni ,vita vya kuvizia "gorilla" si rahisi kwa jeshi lolote lile duniani....na askari wa JWTZ ni binadamu kama ulivyo ubinadamu wa askari wa majeshi bora duniani.....

Rais ni NEMBO ya taifa....rais ni TUNU ya taifa....anatakiwa ATIIWE na kila aliye raia na mwananchi wa nchi hii ili baraka za Mwenyezi Mungu ziendelee kulifunika anga letu.....

#Samia ni TUNU yetu watanzania !
Kwa hiyo zile multiple rocket launchers walienda nazo kupiga picha sio?
 
Kwa hiyo zile multiple rocket launchers walienda nazo kupiga picha sio?
....silaha zozote zile wanabeba kwa kujihami wao na raia....sasa wanagorrila wanaoijichanganya na wakulima na kujifanya wachuuzi wanatabirikaje katika kukufanyia "assault"?!!
 
Ni haki ya watanzania kupenda viongozi wao, na taifa lao, Katiba ina uhuru wa maoni, huna haki kuingilia haki yao ya maoni. Sawa na wewe ulivyo na mahaba na chechemela
Acha wivu wa kijinga kama huna interest kalale mbona wewe unanunulia mademu pombe wkt nyumbani hukuacha kitu
 
....silaha zozote zile wanabeba kwa kujihami wao na raia....sasa wanagorrila wanaoijichanganya na wakulima na kujifanya wachuuzi wanatabirikaje katika kukufanyia "assault"?!!
Vipi sasa? Mbona M23 wamechukua Goma na hizo silaha?
 
Back
Top Bottom