MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Mleta uzi ni mtu mjinga sana asiyejitambua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Kwa tukio kama hilo, Takukuru walikua wapiNimesha ona sana, hii nchi nime wahi ona mgonjwa kaji fia kisa madaktari wako bize na vikao.
walikuwa mageto ya ofisini kwao.Sasa Kwa tukio kama hilo, Takukuru walikua wapi
Tumefika nchi ngapi dada?!!! Ipi na ipi?!!!!!Kama ni Rais ndo wavae t-shirt zenye sura yake? Ndo wavae t-shirt zenye jina lake?
Kwa hiyo ni Tanzania tu ndo tuna Rais au Kiongozi nchi zingine hawana? Mbona kwenye mataifa mengine ya watu wenye akili hawafanyi huo upuuzi wenu?
Hao wa kulaumiwa nao si wanawekwa na huyo huyo?Usilaumu watu!
Wakulaumiwa ni wale wenye kuifinyanga kesho ya Tanzania!
Walijisahau wakaanza kucheza beat za wanasiasa badala ya mstakabali wa kesho yetu!!
Chama tawala kimefanywa Cha maana kuliko jamuhuri iliyoanza mwaka 1964!!
The state watuombemsamaha wametukosea sana !wameifanya siasa kuwa ndio KAZI Bora na kuua elimu ionekanekituko hata kama wewe ni profesa unajiona ni wa jalalani!!
nacheza sarakasi balaa gentleman, na siachi,Uko sawa ila kwa namna unavyotafsiri mambo na kutasimamia, napata mashaka kwa wanafunzi unaowafunza, napata mashaka na diplomasia yako, nahisi we ni mwanasarakasi wa kimataifa kama ulivyojitambulisha.
Na kuhusu uadhiri huenda unafundisha tuition ya chuo kikuu labda.
Ila unareflect taswira ya wasomi wa Tanzania ndiyo maana nchi iko hivi kwaajili yenu ninyi, yani me na elimu yangu hii ya bachelor degree siwezi kubaliana na mwwnendo huu ila wewe mhadhiri unapongeza ety?

Haya sawa mchungaji tufanyie maombi hii nchi ilipofikia ni kama jehanamu. 😂🙏🏾nacheza sarakasi balaa gentleman, na siachi,
na hata majuzi kakitambi kalitaka kuniletea ugumu lakini nimekadhibiti vizuri nasasa nasonga mbele vizur sana,
hayo mengine staki kueleza sana kwasababu bado niko kazini na ninsonga mbele vizuri sana, na wengi wanaopitia mikononi mwangu sio rahisi kabisa kutapeliwa na vibaka wa siasa kama ilivyo kwa baadhi ya vijana waliopitia mikononi mwa wengine kitaaluma.
napenda kilimo, napenda ufugaji, biashara na hata kuhubiri na kusaidia kuwapeleka watu wacha Mungu mbinguni,
nitaendelea kua nanyi humu jukwaani mara zote ninapopata nafasi, ili kusudi kwa pamoja tuendeleze umoja, amani na utangamano kama Taifa la watu wastaarabu duniani licha ya utofauti wa mirengo na imani tofauti za kidini na kisiasa pia![]()
Ila nyie chama lenu walio wengi ni wadini nyoko. hongera kamanda kwa kusimamia hili.Tusimbague mtu kutokana na Dini Jinsia Kabila nk.
Brother achana na wavuta Bangi!Kwa hiyo watu wasimsikilizw kiongozi wa nchi , demokrasia si mlitaka wenyewe...Kaeni mpaka muda wenu ukifika.
Watendaji wa Serikali kumsikiliza kiongozi ndo wavae kofia zenye jina lake? Ndo wavae T shirt zenye picha yake?
Kwa nini mapenzi kwa kiongozi badala Taifa? Tumekuwa nchi ya namna gani sisi?
Kazi unayo Mwaka huu na ndio kwanza mwezi wa Tatu hata ukifika wa kumi nakuhakikishia unaenda kuwa Chizi makopo yanakuhusu mate.Watendaji wa Serikali kumsikiliza kiongozi ndo wavae kofia zenye jina lake? Ndo wavae T shirt zenye picha yake?
Kwa nini mapenzi kwa kiongozi badala Taifa? Tumekuwa nchi ya namna gani sisi?
karibu leadersHaya sawa mchungaji tufanyie maombi hii nchi ilipofikia ni kama jehanamu. 😂🙏🏾

Mkuu wewe save hizi picha ni swala la muda tuu, chuma huliwa na kitu, mtu huzali na kufa vile vile.Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.
Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.
Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.
Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.
Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.
Tumekuwa Taifa la Wajinga na Ujinga
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Katika jambo lipi?Inafikirisha sana
Huyo jamaa wala sio CHADEMA.Ila nyie chama lenu walio wengi ni wadini nyoko. hongera kamanda kwa kusimamia hili.
Tuwaachie wenyewe wakati wanatuharibia taifa?