Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Uoni waislamu wa matumbi wanavyo mtukuza muarabu wa gaza ..Palestina na kutokuongelea chochote kuhusu wabantu wenzao wanao chinjagwa africa yote hata Sudan nk upishawa kumsikia muarabu akimuulimia mtu mweusi kwa vita au akimtakia amani hata kwenye mauaji ya kimbari ya rwanda uliwai kusikia washenzi wa kiarabu wakisema kitu chochote au kutoa msahada wowote wa maana
Inawezekana kuna mapungufu kwa wengi wao, lakini inatokana na mambo mengi, asili ya mtu, , kujua kwake kwa mambo mengine zaidi ya asili yake NK hivyo kumtoa huko ni kumuelimisha na sio kumuona kama ni duni au asiyeelewa.
 
Ujinga ni mtaji!! Jitajidi sanaa kufuta ujinga kwa vizazi vyako maana watakuwa mtaji kwa watu werevu. Ujinga hauna umri. Tuombe sanaa Mungu atusaidie Taifa letu lisiangamie! Tunaanza kuona makucha ya Wazungu kupitia Trump....
Nimekuelewa sana
 
Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.

Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.

Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.

Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.

Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.

Tumekuwa Taifa la Wajinga na Ujinga
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Unajua nguvu aliyo nayo rais weru hapa nchini huyo akisema hiwe hivi ndio inakuwa hiyo..anamamlaka makubwa sana.

Mm nawaelewa sana wanomhusudu watu wanataka mambo yao yaende mbele..
 
Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.

Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.

Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.

Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.

Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.

Tumekuwa Taifa la Wajinga na Ujinga
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Wamenona inamaana huwaoni
 
Tanzania inahitaji Rais kama Putin au Ibrahim Traore au xiping vingenevyo kula kwa urefu wa kamba yako usubiri kufa.
 
Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.

Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.

Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.

Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.

Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.

Tumekuwa Taifa la Wajinga na Ujinga
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Wacha watu wamfurahie mama akiupiga mwingi.....
 
Acha kujitia ujinga ..

Huyo ni rais wa nchi .... wanajeshi wanamtii sana. ..nao ni wananchi....sasa unashangaa nn kwa raia kumtii rais wao ?!!

Acheni uliberali koko,...
 
Muislamu hatakiwi kupewa uongozi kwenye hii nchi ndiyo wanao ikwamisha nchi yetu kwenye umaskini wakimsingizia nyerere ....
Kesho nenda na bango lenye maneno hayo pale ubungo na uitishe kufutwa kwao uraia wa Tanzania.....

Dini inahusiana nini na uongozi ?!!
Pathetic
 
Ni haki ya watanzania kupenda viongozi wao, na taifa lao, Katiba ina uhuru wa maoni, huna haki kuingilia haki yao ya maoni. Sawa na wewe ulivyo na mahaba na chechemela
Zwazwa huyo yeye ni nani atupangie wa kumpenda ?!!

Sijui wanajionaje hawa mafulafula ?!!
 
Muislamu hatakiwi kupewa uongozi kwenye hii nchi ndiyo wanao ikwamisha nchi yetu kwenye umaskini wakimsingizia nyerere ....
Waislam hawaongozwi na wanawake!! Nchi zilizoongozwa na wanawake mara nyingi huchechemea kwasababu Islam hairuhusu! Zanzibar bibi Kizimkazi asingepata uongozi wa visiwani.
 
Unajua nguvu aliyo nayo rais weru hapa nchini huyo akisema hiwe hivi ndio inakuwa hiyo..anamamlaka makubwa sana.

Mm nawaelewa sana wanomhusudu watu wanataka mambo yao yaende mbele..
Ndo mana nasema tumeshakuwa Taifa la Wajinga na ujinga
 
Back
Top Bottom