Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Tuwalee watoto wetu vyema uenda wakaja kufanya jambo uko mbeleni.

Kizazi cha 60 kurudi nyuma ndio hao wazee wameshikilia kila kitu sasa huwa wanapanga mikakati ya kurithisha nasi za uongozi kwa watoto wao.

Kizazi cha 70-80 wamekua machawa waandamizi

Kizazi cha 90 ni kama vile wapo bize zaidi na maisha yao. Hawatilii mkazo sana habari za siasa.

Kizazi cha 2000[GenZ). Hiki ndio kizazi mfu kabisa. sio wa kuwategemea kwa chochote.

Tuwakuze vyema watoto wetu wa kuanzia 2020, uenda wakaja kufanya jambo uko mbeleni
Bila kufanya kitu saivi hata hii Tanzania wanaweza wasiikute ikapotea wakija kufika umri wa utu uzima.
 
Huwezi pingana na kanuni za kiulimwengu.

Asiyebadilika ni Mungu tu ila mambo yetu sisi wanadamu yana mabadiliko.

Hata kitabu cha biblia, kina Agano la kale na Jipya.
Unapo ingia huko kwenye dini unajivuruga mwenyewe, maana kila jambo linapingana na jingine.
Kwa hiyo kwa maana yako, tumerudi "zama" za Gomola, au siyo?
Kwa maana hiyo tusubiri kiyama na tuanze "zama" nyingine?
Mapambano ni katika "zama" zote, ndiyo maana kumekuwepo na mabadiliko chanya katika kila "zama".
 
Hii
Nyerere alikaa madarakani miaka 24! Na ndie Rais aliyetoka akituacha WaTz masikini wa kutupwa. Na alivyotoka tu hatujawahi tena kurudi ktk hali ya umasikini kama aliotuachia
Hii ni historia toka chuo kikuu cha Kariakoo, anako fundisha 'conman' Mzee Mohammed. Haishangazi mhitimu wake kama wewe kuitapika hapa.
 
Laah!
Sasa na wewe unataka mjadala na mimi, kweli?
Tutaanzia wapi wakati nikisoma mabandiko yako yote humu yanavyo eleza upungufu mkubwa sana siyo kielimu tu, bali hata katika maarifa ya aina yoyote?
Maana ya kutokujibu mwenyewe moja kwa moja ni kuepuka kufukuzana na mtu asiyekuwa na sifa za kufukuzana naye.
Kikawaida huwa muda wa kupoteza na mtu nisiyeweza kufaidika na chochote kimawazo kwake huwa sina.
Natumaini utakuwa umenielewa vizuri.
Onesha hata bandiko langu moja🤣🤣🤣....Siwezi kuongea na mjinga ,kwa elimu gani basi au ushamba wa kukariri....Bongo kuna mwenye elimu ?au ukishakariri na kuvaa suruali za vitambaa unaona una elimu ...

Kama unataka mjadala hata wa kielimu weka basi !
 
Onesha hata bandiko langu moja🤣🤣🤣....Siwezi kuongea na mjinga ,kwa elimu gani basi au ushamba wa kukariri....Bongo kuna mwenye elimu ?au ukishakariri na kuvaa suruali za vitambaa unaona una elimu ...

Kama unataka mjadala hata wa kielimu weka basi !
Nijadili jambo na mtu kama wewe, kwa misingi ipi?
Sijawahi kukusoma popote kabla ya leo, na ninacho kisoma hapa kinatosha kabisa kunipa picha ya ubovu wako, kuanzia kwenye elimu duni na uelewa wa mambo.
Nitajadili nini na mtu kama wewe. Uandishi pekee kwako ni shida!
 
Hii
Hii ni historia toka chuo kikuu cha Kariakoo, anako fundisha 'conman' Mzee Mohammed. Haishangazi mhitimu wake kama wewe kuitapika hapa.
Je sio kweli kwamba Nyerere alikaa madarakani 24yrs?
Je sio kweli kwamba kipindi cha Nyerere watanzania ndo tulikuwa masikini wa kutupwa kuliko wakati wowote?
Kipi unachopinga hapo!
 
Nijadili jambo na mtu kama wewe, kwa misingi ipi?
Sijawahi kukusoma popote kabla ya leo, na ninacho kisoma hapa kinatosha kabisa kunipa picha ya ubovu wako, kuanzia kwenye elimu duni na uelewa wa mambo.
Nitajadili nini na mtu kama wewe. Uandishi pekee kwako ni shida!
Kiufupi hauna uwezo wa kuniambia chochote kile kwa vile naongelea uhalisia ,wewe umekariri nataka ufungue kichwa chako sio kukariri ujinga huku darasani.
 
Usilaumu watu!
Wakulaumiwa ni wale wenye kuifinyanga kesho ya Tanzania!

Walijisahau wakaanza kucheza beat za wanasiasa badala ya mstakabali wa kesho yetu!!

Chama tawala kimefanywa Cha maana kuliko jamuhuri iliyoanza mwaka 1964!!

The state watuombemsamaha wametukosea sana !wameifanya siasa kuwa ndio KAZI Bora na kuua elimu ionekanekituko hata kama wewe ni profesa unajiona ni wa jalalani!!
Mkuu umenikumbusha uchaguz wa 2020 kuna slogan ya kisenge ilkuwa inasema at "anaye lala na mama yako ni baba yako" wakimaanisha eti taifa limeolewa na ccm kwamba lazima tuipe kura. Hasa kwa wafanyakaz wa taasis za serikali.

Asee ile slogan iliniumiza kichizi na mpaka leo huwa nnawaza hivi kati ya taifa na ccm nani kaolewa na mwenzake? Nani mwenye hofu ya kupewa talaka? Nani anaye. Mkatia kiuno mwenzake iliasiachwe?

Yupi anaye jibebisha? anyway ngoja niishie hapo kuwaza.
 
Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.

Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.

Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.

Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.

Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.

Tumekuwa Taifa la Wajinga na Ujinga
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Kuna watu wanakufa Njaa si kwa kupenda au kuwa ni wavivu,la hasha kama hivi mabadiliko ya tabianchi,watu wamewekeza kwenye mashamba,lakini mvua zimegoma.Kilimo Cha umwagiliaji Bado wananchi wengi hawajawa na maamuzi nacho kutokana na Elimu,mitaji ya kuchimba visima nk Sina Nia ya kumkataa Raisi wetu aliyopo madarakani,Kero yangu ni Hawa wapambe vichwa box wanaotumia hela za chama au walipa Kodi kuwekeza kwenye t-shirt,kofia,vitenge nk ,kwani nani hajui Samia Suluhu Hassan ni Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania!Hata ziara zake alipo zinajulikana.Kwa Nini Machawa watumie kuchapisha hivi vitu zisitumike kujenga mifumo ya umwagiliaji,maghala ya kuhifazi vyakula nk?Tujitafakari,tuchukue hatua.
 
Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.

Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.

Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.

Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.

Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.

Tumekuwa Taifa la Wajinga na Ujinga
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Wewe ukilamba miguu y kibaraka Lisu inatosha Kwa nini uumie na umpangiw mwingine?
 
Back
Top Bottom