Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Nchi hii imetawaliwa na marais wakristo kwa kipindi cha zaidi ya miaka 35 na bado waliiacha masikini.
Viongozi wengi serikalini ni wasomi wakristo, wametusaidia nini zaidi ya kuitia umaskini tu TZ
Wakristo anaifikisha juu kwenye muelekeo kisha anakuja muislamu kubomoa na kuvunja ...nakuakikishia miaka 35 ya wakristo ingekuja mfululizo bila ya hawa waisiharamu basi uchumi wetu ungekuwa mkubwa sana kuliko sasa kwa zaidi ya mara 3 kwa hiyo hiyo miaka 35
 
Wakristo anaifikisha juu kwenye muelekeo kisha anakuja muislamu kubomoa na kuvunja ...nakuakikishia miaka 35 ya wakristo ingekuja mfululizo bila ya hawa waisiharamu basi uchumi wetu ungekuwa mkubwa sana kuliko sasa kwa zaidi ya mara 3 kwa hiyo hiyo miaka 35
Acheni suala la udini, uongozi na udini haviingiliani kulingana na katiba ya nchi, rais kama taasisi haina dini.
Habari ya udini ni ubaguzi wa mtu binafsi tu.
 
Mmakunduuchi awezi kuwa rais wa watanganyika isipokuwa kwa ufisadi tu hakuna mtanganyika wa kuchaguu huo upuuzi
Dunia nzima inamrambua Samia kuwa ndiye Rais wa JMT. We nani ukatae. Ushauri wa bure kama hutaki uRais wa Samia hama nchi mana huna cha kumfanya asiwe Rais
 
Mjomba atakukausha Koo huyo.
Unafananisha picha za ukutani ambazo zinabandikwa kwa mujibu wa Sheria na Tishirt na Kofia zinazokuwa printed ili kumuabudu mtu na kuwa chawa wake? Tena kwa kutumia pesa za walipakodi zinazopaswa kwenda kutoa huduma bora kwa wananchi?

We kweli kilaza.
 
Pande Zote zina waadilifu na wasio waadilifu, inategemeana unayemchagua ni aina ya Bashite au Mrisho
TATIZO KWENYE UISLAMU NI NGUMU KUMKUTA MUISLAMU MZALENDO KWA NCHI YETU KWA SABABU WAO UZALENDO WAO NI KUMUABUDU MUARABU NA UARABU ..ndiyo maana wanaua wamasai kusa kumfurahisha muarabu
 
Dunia nzima inamrambua Samia kuwa ndiye Rais wa JMT. We nani ukatae. Ushauri wa bure kama hutaki uRais wa Samia hama nchi mana huna cha kumfanya asiwe Rais
Kipo cha kumfanya
 
Wakristo anaifikisha juu kwenye muelekeo kisha anakuja muislamu kubomoa na kuvunja ...nakuakikishia miaka 35 ya wakristo ingekuja mfululizo bila ya hawa waisiharamu basi uchumi wetu ungekuwa mkubwa sana kuliko sasa kwa zaidi ya mara 3 kwa hiyo hiyo miaka 35
Nyerere alikaa madarakani miaka 24! Na ndie Rais aliyetoka akituacha WaTz masikini wa kutupwa. Na alivyotoka tu hatujawahi tena kurudi ktk hali ya umasikini kama aliotuachia
 
Wakristo anaifikisha juu kwenye muelekeo kisha anakuja muislamu kubomoa na kuvunja ...nakuakikishia miaka 35 ya wakristo ingekuja mfululizo bila ya hawa waisiharamu basi uchumi wetu ungekuwa mkubwa sana kuliko sasa kwa zaidi ya mara 3 kwa hiyo hiyo miaka 35
Anayeongoza nchi ni mtu anaezungukwa na watu wanaoiunda taasisi ya ofisi ya Raisi na wala sio taasisi ya dini fulani, laiti kama ingekuwa dola imeshikwa na kikundi cha watu wenye imani ya dini ya kiislamu alafu ndiyo yatokee haya its okay kulaumu kwa mtindo huo ila kwenye ofisi ya raisi kama taasisi kuna watu wenye dini mbali mbali na imani tofauti suala la udini hapo halina nafasi wakuu, tena tusione kuna ni jambo la maana kulisemea na kulishadadia.
 
Acheni suala la udini, uongozi na udini haviingiliani kulingana na katiba ya nchi, rais kama taasisi haina dini.
Habari ya udini ni ubaguzi wa mtu binafsi tu.
Ukumsikia yule muhuni alivyo sema kuwa katiba ni kakitabu tu kuchambia tu
 
Sikubaliani na msemo huo.
Huo ndio ujinga wenyewe.
Kwa maana hiyo, tusherehekee "zama" za kiujima kama hizi tulizomo sasa?
Na akili za namna hii ndo zimejaa huko CCM na zinaliangamiza Taifa letu. Wanaendekeza fikra na akili za kijinga kiasi ambacho hawatumii tena akili na maarifa kulisadia Taifa na Wananchi wake kuondokana na shida walizonazo na umaskini huu wa kutisha.
 
Anayeongoza nchi ni mtu anaezungukwa na watu wanaoiunda taasisi ya ofisi ya Raisi na wala sio taasisi ya dini fulani, laiti kama ingekuwa dola imeshikwa na kikundi cha watu wenye imani ya dini ya kiislamu alafu ndiyo yatokee haya its okay kulaumu kwa mtindo huo ila kwenye ofisi ya raisi kama taasisi kuna watu wenye dini mbali mbali na imani tofauti suala la udini hapo halina nafasi wakuu, tena tusione kuna ni jambo la maana kulisemea na kulishadadia.
Mbona kama ni hivyo madai ya waisiharamu kwa uongozi wa nyerere ni hivyo hivyo ...kama unacho sema ni kweli basi madai ya waislamu wakimlaani nyerere yanatokaga wapi tumia akili wacha upumbavu.
 
Dunia nzima inamrambua Samia kuwa ndiye Rais wa JMT. We nani ukatae. Ushauri wa bure kama hutaki uRais wa Samia hama nchi mana huna cha kumfanya asiwe Rais

Ukumsikia yule muhuni alivyo sema kuwa katiba ni kakitabu ka kuchambia tu
Ndiyo ujue hakuna uzalendo wala utaifa kwa sasa katika nchi na sisi kama wananchi tukisikia jambo kama hilo na kulikubali basi itakuwa ndiyo mwenendo wa nchi ila hilo si jambo sahihi na si jambo zuri kuidharau katiba ya nchi, roho imeniuma sana nimetamani hadi kulia nilivyosoma andiko lako.
 
Mbona kama ni hivyo madai ya waisiharamu kwa uongozi wa nyerere ni hivyo hivyo ...kama unacho sema ni kweli basi madai ya waislamu wakimlaani nyerere yanatokaga wapi tumia akili wacha upumbavu.
Sijakuelewa unazungumzia nini mkuu em jaribu kuwa clear and certainity.
 
TATIZO KWENYE UISLAMU NI NGUMU KUMKUTA MUISLAMU MZALENDO KWA NCHI YETU KWA SABABU WAO UZALENDO WAO NI KUMUABUDU MUARABU NA UARABU ..ndiyo maana wanaua wamasai kusa kumfurahisha muarabu
Sijaona mfano halisi wa mtu, muadilifu ambaye ana mtukuza Binadamu mwenzie awe muarabu, muhindi, mtu mweupe au mchini. Anayefanya hivyo ni mapungufu yake ya kuijua dunia inavyo kwenda
 
Mkuu 'Lord', hivi umemwelewa vizuri 'Tanganian' na mawazo yake hapo juu?
Mawazo ya aina hiyo usidhani ni ya kipekee sana miongoni mwa jamii hii!
Na kwa bahati mbaya sana, hata ndani ya jamii inayozungumziwa na machizi wa aina hii, kuna watu wanao onyesha usahihi wa tabia hizo.
Maana anayolenga mwenzio ni kuwa kama wewe ni mtu wa "porini" hutakiwi kujuwa kitu kuhusu nchi(?); pengine kwa mawazo yake maana ya "nchi" ni kuwa mjini!
Unaweza kushangaa ukisikia huyu ni msomi hadi chuo kikuu, na pengine kashikilia cheo kukubwa serikalini!
Hutokuja kunielewa ,kwanza mimi sijawahi kupiga kura wala sina kitambulisho cha kura ..Nina uhakika CCM watashinda tu japo sina chama.

CCM imesheheni watoto wa mjini ,wana mbinu zote za ushindi ,wana vyanzo vingi vya mapato kila mkoa ,chama cha muda mrefu sana kinajua kila aina ya uchafu..

Wewe usijidanganye bora upiganie familia yako kimpango wako ,si kwa kizazi hiki kuwatoa sahau ...Halafu kama hapo hamna tatizo maana hizo kofia wamenunua CCM..

Sasa unaweka picha za watu kwa kuwaona kama hawana akili ,hao wengi ni watumishi wameenda kuhudhuria mualiko wa bosi wao (Rais).

KIUFUPI: Unaumiza kichwa kwa kitu ambacho hakiwezekani kabisa.​
 
Back
Top Bottom