Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Mkuu 'Lord', hivi umemwelewa vizuri 'Tanganian' na mawazo yake hapo juu?
Mawazo ya aina hiyo usidhani ni ya kipekee sana miongoni mwa jamii hii!
Na kwa bahati mbaya sana, hata ndani ya jamii inayozungumziwa na machizi wa aina hii, kuna watu wanao onyesha usahihi wa tabia hizo.
Maana anayolenga mwenzio ni kuwa kama wewe ni mtu wa "porini" hutakiwi kujuwa kitu kuhusu nchi(?); pengine kwa mawazo yake maana ya "nchi" ni kuwa mjini!
Unaweza kushangaa ukisikia huyu ni msomi hadi chuo kikuu, na pengine kashikilia cheo kukubwa serikalini!
Nimemsoma na zaidi amenisikitisha na kunifanya nimuonee huruma yeye na kizazi chake.

Watu wa namna yake ni kielelezo tosha kuwa nchi yetu ndo imeshajifia rasmi.
 
Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.

Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.

Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.

Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.

Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Huyo aliyepewa huu mradi atakuwa trilionea ndani ya mwaka mmoja
 
We jamaa umenifanya nicheke mno, unaweza kujieleza vipi wakati huwezi kutwngeneza facts rationally, huna critical thinking ila kwa Tanzania unaweza kuwa mwanasiasa 😂 nchi ai mahaiona ni jumba la sanaa kila mtu anajaribu kipaji chake.
mimi si mwanasiasa tu gentleman,

ni muhadhiri mwandamizi, mwanadiplomasia, mkulima, mfugaji, mfanyibiashara, apostle na mwanasarakasi wa kimataifa, mshauri mwandamizi wa masuala ya siasa katika vyama mbalimbali vya siasa n.k

ndio maana jimboni kwangu anaejitokeza kunipinga huonekana ni mshirikina na hutengwa kabisaa na jamii. Hakunaga upinzani jimboni kwangu gentleman 🐒
 
Muislamu hatakiwi kupewa uongozi kwenye hii nchi ndiyo wanao ikwamisha nchi yetu kwenye umaskini wakimsingizia nyerere ....
Nchi hii imetawaliwa na marais wakristo kwa kipindi cha zaidi ya miaka 35 na bado waliiacha masikini.
Viongozi wengi serikalini ni wasomi wakristo, wametusaidia nini zaidi ya kuitia umaskini tu TZ
 
MASIKINI WENGI WANACHUKI NA HASIRA. WAKIONA MAISHA YAO MAGUMU WANAHISI ZILE PESA ZA KOFIA WANGEPEWA WAO. ZILE NI PESA ZINAZOTOKA KWENYE KODI. HAKUNA RAISI ANAYECHUKUA KODI KUTOKA KWA MATAJIRI KUWAPA MASIKINI. KILA MTU AFANYE KAZI ALE. KAMA KULIKUWA NA RAISI ANAYEFANYA HIVYO BASI TUMSAMEHE MAKOSA YAKE TUFANYE KAZI.Y9⁸⁵
Umasikini wa wananchi hautolani na wao wenyewe tena kwenye taifa kama hili la Tamzania kila mtu anatamani kuwa na maisha mazuri awe na economic stability.

Kinachowafanya watu wawe masikini ni mifumo mibovu ya uongozi na usimamizi wa mifumo ya nchi na rasilimali zake, just imagine hao masikini unaowaona wewe
1. Wananyimwa elimu bora inayoendana na mazingira yao.
2. Wananyimwa elimu ya ujasiriamali kulingana na rasilimali zao zilizopo nchini.
3. Wananyimwa elimu ya uwekezaji kwenye rasilimali zilizopo nchini.
4. Wanatozwa kodi kibao kila kukicha, je wao wanakosa gani? Ukiwa na akili timamu utajua chanzo cha umasikini hapo ni nini.
 
mimi si mwanasiasa tu gentleman,

ni muhadhiri mwandamizi, mwanadiplomasia, mkulima, mfugaji, mfanyibiashara, apostle na mwanasarakasi wa kimataifa, mshauri mwandamizi wa masuala ya siasa katika vyama mbalimbali vya siasa n.k

ndio maana jimboni kwangu anaejitokeza kunipinga huonekana ni mshirikina na hutengwa kabisaa na jamii. Hakunaga upinzani jimboni kwangu gentleman 🐒
Uko sawa ila kwa namna unavyotafsiri mambo na kutasimamia, napata mashaka kwa wanafunzi unaowafunza, napata mashaka na diplomasia yako, nahisi we ni mwanasarakasi wa kimataifa kama ulivyojitambulisha.

Na kuhusu uadhiri huenda unafundisha tuition ya chuo kikuu labda.

Ila unareflect taswira ya wasomi wa Tanzania ndiyo maana nchi iko hivi kwaajili yenu ninyi, yani me na elimu yangu hii ya bachelor degree siwezi kubaliana na mwwnendo huu ila wewe mhadhiri unapongeza ety?
 
Kwa hiyo tusiwe wakweli mbona waislamu wanambagua nyerere kwa sababu ya dini yake tena kinyume na ukweli ...je sisi tunao wasema waislamu kwa ukweli ulio dhahili tuwe tumekosea kwa kusema ukweli ....nitajie hata ule msemo wa ..👉 Baba fisadi mama kahaba mtoto anauza ngada ....msemo huu ukiufitisha Tanzania unaona unafiti kwa marais wa dini gani ...atoning watoto wa viongozi wakristo wakitumia vyeo vya baba zao kufanya ushenzi kama tunavyo ona kwa waislamu.
Anzisha uzi wako wa mada ya Udini.
Usichafue thread ya mwenzio
 
Mwalimu Nyerere ndo tumulaumu hakuweka vizur miundombinu ya kuwaondoa maadui 4 wa taifa sasa tunaenda kuwa kama kongoo.maana mtu ameshika mali zako alafu unamuabudu..
 
Usalama wa Taifa uwa wanawainda wale watu wenye mapenzi mema na hii nchi wale wakosoaji wa serikali inasikitisha sana Tanzania
Kama unajaza Taasisi vilaza kutoka UVCCM haya ndo matokeo yake. Wao taarifa nyeti na za kufanyia kazi ni shughuli za Viongozi wa CHADEMA na kukisaidia Chama cha Mapinduzi kuiba chaguzi hadi za vijiji.

We are finished kwa kweli kama Taifa.
 
Nilidhani unakuja na hoja ya kubisha uhusiano wa ule msemo na viongozi waislamu...kumbe umekuja kutetea namna bwana abdul anavyo linajisi taifa kibisumirai bisumirai😁😁😁😁
Utake usitake Samia ni muislam na ndio Rais wa TZ.
Hutaki hamia Burundi
 
Utake usitake Samia ni muislam na ndio Rais wa TZ.
Hutaki hamia Burundi
Mmakunduuchi awezi kuwa rais wa watanganyika isipokuwa kwa ufisadi tu hakuna mtanganyika wa kuchaguu huo upuuzi
 
Mwalimu Nyerere ndo tumulaumu hakuweka vizur miundombinu ya kuwaondoa maadui 4 wa taifa sasa tunaenda kuwa kama kongoo.maana mtu ameshika mali zako alafu unamuabudu..
Nyerere alifanya kwa ubora wake na kwa taaluma kubwa sana kwa wakati kama ule nchi ilivyokuwa na namna alivyokuwa anaidhibiti na kuisimamia.

Tatizo ni kwamba hiki kizazi kinachoitawala nchi kwa sasa hakijui kinafanya nini, kinajenga nini na kinaipeleka wapi nchi.

Hakuna haja ya kumlaumu Hayati Mwl JK Nyerere, inafaa tumshukuru kwa kutulinsia rasilimali zetu ila sisi tunampango gani kwa taifa????
 
Back
Top Bottom